Area 56
JF-Expert Member
- Dec 8, 2015
- 1,556
- 4,071
Mchambuzi wa michezo kutoka Wasafi Fm, George Job amesema klabu ya Simba bado haijajiandaa vema katika mechi za mtoano.
Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC.
Kwa kauli hiyo ni wazi George Job anaona kabisa kuwa Simba inaenda kutolewa na Orlando Pirates.
Kikosi cha Simba ilkinaweza kupambana vizuri kwenye mechi za makundi ila linapokuja suala la mechi mbili za mtoano hapo ndipo ulipo mtihani kwa Simba SC.
Kwa kauli hiyo ni wazi George Job anaona kabisa kuwa Simba inaenda kutolewa na Orlando Pirates.