Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,595
- 215,272
Kufuatia kuanzisha sharia ya kupiga mawe wazinzi na mashoga na wezi kukatwa mikono na miguu katika nchi ya Brunei wiki iliyopita. Celebrities George Clooney na Elton John wameanza kuwashawishi wapenda amani na haki za binadamu duniani kuacha kutumia hoteli za Sultan Hassali.
Sultan Hassanali anamiliki chain ya hotel za hadhi ya 5*. Baadhi ya hoteli hizo ni The Dorchester ya London, Beverly Hills na Bel-Air Hotels za USA.
Baada ya kusambaa ujumbe huu wa George Clooney na Elton John, The Dochester ilipokea simu nyingi za booking cancellations.
Waandamanaji wakiwa nje ya The Dochester London kwa mamia kupinga Sharia Law ya Sultan Hassanal
Collection ya magari ya Hassanal Bolkiah Sultan wa Bruei.
Inasadikia royal family iliwahi kuwa na magari 2,500.
Ana miliki Ferrari 500