Ahsante mkuu nimekuelewaAutocad itakupunguzia kama hizo point utaziingiza manual lakin kwa arc gis huez ingza manual lazma utainput kwa format ya csv toka kwenye excell na hiyo ndiyo mara nying itakupa shida kama kulikua na points ambazo zilikosewa au kuwa kama outlier zinaanguka mbali so huez kuziona ...bt kwa autocad manual input itakufanya uone kila point inavoingia na inapoenda kutua so ni rahisi kuitambua ile iliyokosewa ...kwa uzoefu wangu