Gentamycine bado unaamini katika haya? Au ni unafiki kama kina BAK,Pole Pole na Nape

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Hivi mkuu bado msimamo wako uko vile vile? Au umeshabadili kama mbowe wa gia ya angani? Katika siasa hakuitaji mhemko kabisa maana ukweli uko wazi kwamba kuweka akiba ya maneno ni vema,

Vipi kwa kijana wetu BAK bado unaamini Lowassa ni fisadi?

Vipi Nape Nnauye unaamini kuwa Magufuli ni bulldozer?

Kuhusu mange kimambi unaamini bado Magufuli ni jembe lisiloyumbishwa na lenye akili iliyopitiliza kama ulivosema kwenye kampeni?

Bado unaamini mgombea wa upande mwingine alifanya mambo uloyatangaza jukwaani?

Vipi mbowe ,magufuli bado anatekeleza ilani yenu kama ulivosema mwanzoni?

Msigwa na lema vipi bado mnasimamia kaulo ya wafuasi wa Lowassa wapinwe akili?

Namuuliza Humphrey Pole pole hivi kweli ukuu wa wilaya ni kupoteza rasli Mali za nchi bila sababu?

Namalizia na quotation ya GENTAMYCINE


 
We jamaa nimependa misimamo yako ya kutofungamana na upande wowote...

Ila siasa ni kama mpira wa miguu.
Mfungaji bora wa timu moja ni adui wa kukaba muda wote, akihamia kwenu anakuwa mtu wa kulindwa muda wote
Ila inabidi kusimamia unachoaamini kama mwanasiasa mwenye uzalendo kwa nchi yake
Kuhama kwa hoja yako kuwe na.maslahi kwa Taifa lakin si maslahi ya chama,
Chadema kumpokea.Lowassa ilikuwa maslahi ya chama zaid kuliko taifa, au kama walitudanganya mwanzoni waombe radhi
 
Magufuli ni jabali la Tanzania.. Bahati mbaya ni ngumu sana kumuelewa kwa sasa!

Nawashauri wapinzani wabadili mbinu dhidi yake lakini wakiendelea na style za miaka 47 ya maandamano, kumbeza, kushinda twitter na facebook kumpiga vijembe, watapoteza pakubwa sana!Siasa za kutaka kujipa umaarufu kwa kujifanya mandela zilishapitwa na wakati, wanasiasa wajikite zaidi kwenye kugusa maisha ya watu wa chini. Kwa mfano kuanzisha mipango ya kuwakomboa kiuchumi wanachi katika majimbo yao, utatuzi wa changamoto za maji na kujenga visima, kutafuta wafadhili kwa ajili ya mikopo kwa vijana n.k

Tanzania tunahitaji kufanya siasa za maendeleo na ndio tunakotaka twende sisi wanyonge.
 

Hahaha mkuu nchi ngumu hii. Mimi ukiacha makandokando ya ngosha kwenye demokrasia...sioni anachofanya ambacho Watu walikuwa hawakijui.

This man is tough. Na wengi wetu humu miaka na miaka tulikuwa tunalilia Rais asiye dhaifu!
 
Unaandika pumba hivi unategemea wenye akili timamu watapoteza muda wao kuyatathmini hayo?
 
Mkuu hao uliowataja hapo juu ni wachumia tumbo wakubwa sana

Kuanzia mbowe ni mchumia tumbo
Lema ndo mchumia tumbo hataree
Msigwa pia hivyo hivyo
Pole pole ndo hana haya wala son
Bak njaa inamusumbua sana
Gentamycine ni mchumia tumbo kufulu
Mange ana hasira baada ya kukosa ubunge wa vitimaulum


Wanasiasa wa tz ni wachumia tumbo tu wote na hawana msimamo ndugu yangu wao wanaangalia sehemu gan kuna makuli mfano mzuri YERICKO NYERERE NA MWIGURU NCHEMBA
 
JURIUS MTATIRO ndo bado naona anajitambua na hachumii tumbo lake japo huko inster huwa namsumbua sana
 
Mwigulu yuko sawa somehow
 
Wanasiasa hubadilika kama kinyonga.Hiyo ndiyo silka, hulka na haiba yao (general politiacal characteristics)
 
Tuhuma za ufisadi wa lowasa bado zina simama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…