jje's
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 10,886
- 16,584
na hii ya wazazi kuwaacha watoto free na mitandao or hii hali ya utandawazi kuwa rahis sana ni shida na janga kwa Taifa.Naziogopa sana siku zijazo hasa kwa watoto wetu,Mungu awasaidie na hii laana ya shetani.