Generations na love making, yajayo yanaogopesha!

Generations na love making, yajayo yanaogopesha!

Naziogopa sana siku zijazo hasa kwa watoto wetu,Mungu awasaidie na hii laana ya shetani.
Mpe mwanao hasa wa kiume malezi ya kizamani sio ya kisasa, jitahidi kujua marafiki zake, mahali anapopenda kua wakati wa muda wake wa uhuru, michezo anayopendelea ikiwa ni pamoja na filamu na nyimbo...muongoze katika njia sahihi na kama unamume mshrikiane katika malezi kwa ukamilifu
 
Mapenzi ya siku hizi watu wanashindana mbinu na maujanja kwani kuna wale wanaofanya mapenzi ndani ya gari, wengine kwenye Bajaj, na kuna hawa wa sasa ambao wanafanya mapenzi kwenye viwanja vya mpira na jalalani kusingizia usiku watu hawapiti uwanjani na jalalani.
 
Mapenzi ya siku hizi watu wanashindana mbinu na maujanja kwani kuna wale wanaofanya mapenzi ndani ya gari, wengine kwenye Bajaj, na kuna hawa wa sasa ambao wanafanya mapenzi kwenye viwanja vya mpira na jalalani kusingizia usiku watu hawapiti uwanjani na jalalani.
Hahahaa hizo zinaitwa adventures mkuu, eti kudinyana sehemu isiyo rasmi na hatarishi hizo ulizozitaja kuna raha yake
 
Mkuu umefaidi generation zote sio?
Bilashaka mkuu,mimi ni legendari katika bahari hii na utafiti huu nimeuishi wala sio wa kusoma kwenye vitabu, ila hayo yajayo naomba Mungu Aniptishie mbali nayo mimi na kizazi changu
 
Skuhiz unatongoza
asubuh saa 4 ikifka saa
Kumi jion umepewa majibu


Si kweli, siku hizi ni dakika tu hata lisaa halichukui....na watu wana mbinu mbadala. Vijana wamekuwa wajanja zaidi aana wengi wao bado hawamiliki magari, hivyo wanatumia kushikishana kuta za nyumba na miti, makaburini, na kwenye baiskeli pamoj na mikokoteni huku wakijifunika magunia.
 
Si kweli, siku hizi ni dakika tu hata lisaa halichukui....na watu wana mbinu mbadala. Vijana wamekuwa wajanja zaidi aana wengi wao bado hawamiliki magari, hivyo wanatumia kushikishana kuta za nyumba na miti, makaburini, na kwenye baiskeli pamoj na mikokoteni huku wakijifunika magunia.
Kuna mtu alisema eti alitongoza kwenye daladala, wakashuka kituo cha mwisho na mzigo akaenda kuukula!
 
Kuna mtu alisema eti alitongoza kwenye daladala, wakashuka kituo cha mwisho na mzigo akaenda kuukula!


Siku hizi mambo ni mwendo kasi tu...Pale Kinondoni (Komakoma) kuna jamaa kazi yao kushinda pale kusubiri wanawake tu ili wawatongoze. Kuna jamaa nilishuhudia alitongoza wanawake 5 kwa siku akapata 3 akawapangia muda na siku ndani ya wiki ile ile. Akala mizigo na sasa kahamia kituo cha Magomeni Mapipa kuatafuta tenda ingine. Hakuna mwanamke asiyependa kuliwa, mtombo mtamu jamani msidanganyike na walokole na unafiki wao.
 
Siku hizi mambo ni mwendo kasi tu...Pale Kinondoni (Komakoma) kuna jamaa kazi yao kushinda pale kusubiri wanawake tu ili wawatongoze. Kuna jamaa nilishuhudia alitongoza wanawake 5 kwa siku akapata 3 akawapangia muda na siku ndani ya wiki ile ile. Akala mizigo na sasa kahamia kituo cha Magomeni Mapipa kuatafuta tenda ingine. Hakuna mwanamke asiyependa kuliwa, mtombo mtamu jamani msidanganyike na walokole na unafiki wao.
Hahahaa, hili sasa ni jipya kwangu, yaani watu wapo wamekaa tu wanasubiri kutongoza! Hahahaa hiyo kali mkuu
 
Back
Top Bottom