General wa FARDC Auawa huko Uvira

General wa FARDC Auawa huko Uvira

MBOKA NA NGAI

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
496
Reaction score
768
1742213234569.png

Generali Andrew Ehonza enzi za uuhai wake.
1742213291560.png

Picha iliyopelekea kifo chake.


Baada ya kupiga picha na raia wa Minembwe alikokuwa kiongozi, miaka ya nyuma, kwa sasa picha hii imekuja kutafusiliwa kama usaliti, ndo kilichopelekea kuuwawa na kundi la wazalendo.
 
Sijaelewa. Fafanua
Mwanajeshi wa Congo, cheo cha Generali, alikabidhiwa majukumu na kupewa kanda yake ya uongozi.

Kanda hiyo, ikawa ni moja wapo wa maeneo yenye watutsi waitwao wanyamlenge.
Alivyoenda huko, akatembelea maeneo mbali mbali. Kufika huko, akakutana na wazee wa eneo hilo, kumuelezea changamoto wanazokumbana na zo.
Baada ya maongezi, kama inavyoonekana, maana hao watu ni wafugaji, walijikalia chini kwenye nyasi, wakapigwa na picha.
Sasa hili sakata la vita lilipoanza, nae akawa amekimbilia Uvira.
Wakakumbuka aliwahi kupiga picha akiwa na watutsi. Moja kwa moja ikatafusiliwa kuwa ni usaliti, hakutakiwa hata kuonana nao. Kosa likawa ni hilo, na likapelekea kuuliwa na kundi la wazalendo.
 
Mwanajeshi wa Congo, cheo cha Generali, alikabidhiwa majukumu na kupewa kanda yake ya uongozi.

Kanda hiyo, ikawa ni moja wapo wa maeneo yenye watutsi waitwao wanyamlenge.
Alivyoenda huko, akatembelea maeneo mbali mbali. Kufika huko, akakutana na wazee wa eneo hilo, kumuelezea changamoto wanazokumbana na zo.
Baada ya maongezi, kama inavyoonekana, maana hao watu ni wafugaji, walijikalia chini kwenye nyasi, wakapigwa na picha.
Sasa hili sakata la vita lilipoanza, nae akawa amekimbilia Uvira.
Wakakumbuka aliwahi kupiga picha akiwa na watutsi. Moja kwa moja ikatafusiliwa kuwa ni usaliti, hakutakiwa hata kuonana nao. Kosa likawa ni hilo, na likapelekea kuuliwa na kundi la wazalendo.
Ahaa! Du! Nilidhani ameuawa kwenye mapambano na M23
 
Mwanajeshi wa Congo, cheo cha Generali, alikabidhiwa majukumu na kupewa kanda yake ya uongozi.

Kanda hiyo, ikawa ni moja wapo wa maeneo yenye watutsi waitwao wanyamlenge.
Alivyoenda huko, akatembelea maeneo mbali mbali. Kufika huko, akakutana na wazee wa eneo hilo, kumuelezea changamoto wanazokumbana na zo.
Baada ya maongezi, kama inavyoonekana, maana hao watu ni wafugaji, walijikalia chini kwenye nyasi, wakapigwa na picha.
Sasa hili sakata la vita lilipoanza, nae akawa amekimbilia Uvira.
Wakakumbuka aliwahi kupiga picha akiwa na watutsi. Moja kwa moja ikatafusiliwa kuwa ni usaliti, hakutakiwa hata kuonana nao. Kosa likawa ni hilo, na likapelekea kuuliwa na kundi la wazalendo.
So sad news
 
Mwanajeshi wa Congo, cheo cha Generali, alikabidhiwa majukumu na kupewa kanda yake ya uongozi.

Kanda hiyo, ikawa ni moja wapo wa maeneo yenye watutsi waitwao wanyamlenge.
Alivyoenda huko, akatembelea maeneo mbali mbali. Kufika huko, akakutana na wazee wa eneo hilo, kumuelezea changamoto wanazokumbana na zo.
Baada ya maongezi, kama inavyoonekana, maana hao watu ni wafugaji, walijikalia chini kwenye nyasi, wakapigwa na picha.
Sasa hili sakata la vita lilipoanza, nae akawa amekimbilia Uvira.
Wakakumbuka aliwahi kupiga picha akiwa na watutsi. Moja kwa moja ikatafusiliwa kuwa ni usaliti, hakutakiwa hata kuonana nao. Kosa likawa ni hilo, na likapelekea kuuliwa na kundi la wazalendo.
Hao wazalendo ni kabila gani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom