mujungu
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 143
- 55
Kwa sisi wa humu humu huwa tunapata story kuwa Ulaya Nyumba za Ibada zilikosa waumini, zikageuzwa Nyumba za starehe nk. Hapa kwetu leo viwanda tumegeuza sehemu za kufanyia harusi , video shoo , maghala na sehemu za kupata vyuma chakavu!!! inatisha sana. Mara kadhaa nikelekea nyumbani njiro, huwa naumia roho sana nionapo ndani ya Kiwanda cha General Tyre Kumepambwa kwa ajiri ya harusi na mengineyo mengi, Kwangu mimi hii ni laana. hatuoni haibu hata kidogo. Kweli sehemu ya kuzalisha ajira na kuchangia uchumi kukua tunafanya ukumbi wa harusi. TUMETHUBUTU, TUMEWEZA, NA TUTAENDELEA KUWA MASKINI.
NAWASILISHA .
NAWASILISHA .