KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Kwanza na toa shukurani kwa Moderator kwakutuwezesha te kuwa hapa baada ya mainjinia wa jf kuwa katika mchakato wakuiwezesha jf iende sambamba na tekinolojia!!
Mahudhui:
Nimekuwa nikishawishika kusema hili neno la usawa(Gender Balance) Lina waumiza sana akina mama kwani nguvu ya asili ujikuta ikitawala nakushindwa kutimiza lengo la usawa!
Mfano nawauliza Hao wenzetu kawa nini wamalizapo chakula pale 6x6 kwanini wao hulazimika kuosha vyombo??kwanini wasimwambie partiner wake naomba osha nawewe vyombo??Tukajua equal balance ina take place!!Watujulishe nini kinawasukuma kuosha vyombo wakati chakula wamekula wote???:clap2: Mpaka kieleweke!!!:target:
Mahudhui:
Nimekuwa nikishawishika kusema hili neno la usawa(Gender Balance) Lina waumiza sana akina mama kwani nguvu ya asili ujikuta ikitawala nakushindwa kutimiza lengo la usawa!
Mfano nawauliza Hao wenzetu kawa nini wamalizapo chakula pale 6x6 kwanini wao hulazimika kuosha vyombo??kwanini wasimwambie partiner wake naomba osha nawewe vyombo??Tukajua equal balance ina take place!!Watujulishe nini kinawasukuma kuosha vyombo wakati chakula wamekula wote???:clap2: Mpaka kieleweke!!!:target: