Geita: Wavuvi wawili wafa Maji ziwa Victoria

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,036
20,338
Mkoani Geita Wavuvi wawili yaani James Jonas na Rocky Kamala ambao ni wakazi wa kijiji cha Nyandago kata ya Butundwe mkoani Geita.

Wamefariki dunia huku mmoja akiokolewa baada ya Mtumbwi walio kuwa wakisafiria katika ziwa Victoria kusombwa na kimbunga cha upepo mkali uliyopelekea mtumbwi huo kukosa mwelekeo na kugonga mwamba kisha kuzama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…