Geita: Wavuvi wawili wafa Maji ziwa Victoria

Kasomi

JF-Expert Member
Sep 3, 2014
11,037
20,333
Mkoani Geita Wavuvi wawili yaani James Jonas na Rocky Kamala ambao ni wakazi wa kijiji cha Nyandago kata ya Butundwe mkoani Geita.

Wamefariki dunia huku mmoja akiokolewa baada ya Mtumbwi walio kuwa wakisafiria katika ziwa Victoria kusombwa na kimbunga cha upepo mkali uliyopelekea mtumbwi huo kukosa mwelekeo na kugonga mwamba kisha kuzama
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom