Zedude
Senior Member
- Jun 10, 2021
- 171
- 387
Labda sio helaNAKWAMBIA NAUZA NAPIGA UKUTA NA NAFANYA SIRI SIUZI MOAKA NIWE NA TANI YA DHAHABU
Labda sio helaNAKWAMBIA NAUZA NAPIGA UKUTA NA NAFANYA SIRI SIUZI MOAKA NIWE NA TANI YA DHAHABU
Siyo kama diwani hataridhika......isomeke kamwe diwani hataridhika........'Alisema kuwa kama diwani hataridhika wananchi hao kukubali kuachia maeneo yao kwa ajili ya uchimbaji huo kwa maneno pekee, bali atahakikisha wanaandikishana ili kukwepa lawama hapo baadaye na baadaye muhtasari huo watamkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Mbogwe, Charles Mabeho'
Kwa Kauli hiyo hapo lazima kutatokea Vifo