3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,249
- 6,979
sawa mbuzi fcNdiyoo.
sawa mbuzi fcNdiyoo.
Sema wanajenga fensi kuziba eneo la uwanja wao wa mazoezi labda tutaelewaKlabu ya geita gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12
Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake
Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya
Je kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold
View attachment 2054832
Sasa hao mashabiki wenyewe wanao!?Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
Nyani hawawezi kuwa na hoja hata wavalishwe suti.Acha makasiriko mkuu.....twende kwa hoja.....
Sasa wawatangazie mashabiki ambao hawana. Hao hao mashabiki wa Geita Gold ndo mashabiki wa simba na yanga.Yah mkuu....lkn hawajatangaza kuwa wachangiwe na mashabiki
hoja au kioja?Acha makasiriko mkuu.....twende kwa hoja.....
Ni kwasababu ni mdhamin wao.kwan simba na yanga hawana wadhamini?Kumbe wamechangiwa na GGML, nikajua wanjenga kwa fedha ipatikanayo toka kwenye mapato ya timu yao.
NB: Hata uwanja wanaotumia sasa (Nyankumbu Girls), ulijengwa kwa ufadhili wa GGML.
Hiki kinyesi Chako cha njano na kijani ulichoharisha humu jamvini kinatunukia. Tafadhari njoo ukizowe upeleke huko kwenye madimbwi yenu ya vyuraFight for food for four years ,ndio hii njemba Sasa.
Hata Akili ya kujishughurisha kidogo tu na kuwaza kwa upana hakuna kabisa.
Unakumbuka Yanga aliwahi pitisha Bakuli na kweli alikua anapata pesa nyingi na zikawa zinawasaidia kutatua matatizo yao ,je Rudi hapo hapo unahisi Leo hii Geita Gold nao ikatokea wamepata changamoto Kama ya Yanga ya wakati ule ,hao Geita wakiamua kuchangisha Bakuli Wana jeuri hata ya kupata million 10 mtaani?
Kwenye swala la uwanja wa Simba nguvu ya mashabiki ndio imeamua hivyo viongozi nao wamebariki ,huwez zuia nguvu ya umma.
Sisi wana Simba wenyewe tunachangia kwa mapenzi ya timu yetu,na hiyo lugha ya kuwaita watu wanyonge ni kuwatweza haikubaliki.Hizi ni hatua za awali za ujenziiii
Pesa zingine zitakuja .....ila sio kwa kuchangisha watanzania wanyonge
Dindisha akili we matako ,Zaid utapakuliwa kisamvu hapa ,acha shobo za kipumbavuHiki kinyesi Chako cha njano na kijani ulichoharisha humu jamvini kinatunukia. Tafadhari njoo ukizowe upeleke huko kwenye madimbwi yenu ya vyura
Kwahiyo ulitakaje?Klabu ya geita gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12
Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake
Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya
Je kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold
View attachment 2054832
Mbona tunachangia harusi na mke sio wetu???Klabu ya geita gold sport inaendelea na ujenzi wa uwanja wake ambao utakuwa na uwezo wa kuingiza mashabiki elfu 12
Kampuni ya Geita Gold imetoa TZS 2.5 B kwa ujenzi wa hatua za awali ambao utatumika kwenye mechi zake
Ikumbukwe timu ya Geita gold imepanda daraja msimu lakni inajenga uwanja wake bila MICHANGO kutoka kwa mashabiki , wanachama na wadau mbali mbali kama kwa timu nyingine znavyo fanya
Je kuna cha kujifunza hapa kwa Geita Gold
View attachment 2054832
Pia hata namna ya ku handle Mambo ya maendeleo ....lkn sio kuhamssisha wabongo wakuchangie........Kuna kitu cha kujifunza pia, ni upi mfumo wa umiliki uliopo kati ya timu zifuatazo:
1: Timu ya Geita gold
2: Timu ya Simba