Kwani chato inafanana nini na gdabolite?Chief samahan lakini tusiende huko utakako Mzee, maana havihusiani japo vyafanana
Chato itatwaa ndoo[emoji1] [emoji1] [emoji1]VIPI IKITOKEA LIVERPOOL IKAKUTANA FAINALI NA REAL MADRID!!?? JE NANI ATABEBA NDOO?!
Sio yeye ni wakoloni weusi wote ufanana tabia na matendo kuuibia wanyonge kwa mgongo wa mtetezi wa wanyonge kumbe ni wapigaji wakubwa,Trump alisema ni shit hole kabisa tazama wanaibia watu wao wanakuja kuficha kwenye mabenki yetu,heri tusingedai Uhuru tungekuwa tunakaribiana na ulaya kuliko kutawaliwa na wakoloni weusi hawa,huku tirion 1.5,Angola binti wa raisi mwizi,kabila mtoto mwizi,Mobutu mwizi,Mugabe mwizi,raisi wa Nigeria kakutwa na maburungutu ya madola kwenye masafe ya nyumbani, mchawi yahya jameih mwizi yalikutwa porini Magari ya kifahari yamefichwa,Zuma mwizi,bokasa,hao kwa uchache,wakoloni weusi ujali matumbo yao kuliko wananchi wao,ufanana tabia,ni walafi,wapenda starehe,washirikina,wezi,wauaji,wazinzi.Africa kuendelea ni ndoto.Mobutu kaishi Maisha ya anasa wakati wananchi hawapati huduma muhimu.
Haya ndio maisha ya viongozi wetu wa Afrika maisha ya anasa na kwenda kuficha fedha zetu ughaibuni tunasafari ndefu sana Tz.Sio yeye ni wakoloni weusi wote ufanana tabia na matendo kuuibia wanyonge kwa mgongo wa mtetezi wa wanyonge kumbe ni wapigaji wakubwa,Trump alisema ni shit hole kabisa tazama wanaibia watu wao wanakuja kuficha kwenye mabenki yetu,heri tusingedai Uhuru tungekuwa tunakaribiana na ulaya kuliko kutawaliwa na wakoloni weusi hawa,huku tirion 1.5,Angola binti wa raisi mwizi,kabila mtoto mwizi,Mobutu mwizi,Mugabe mwizi,raisi wa Nigeria kakutwa na maburungutu ya madola kwenye masafe ya nyumbani, mchawi yahya jameih mwizi yalikutwa porini Magari ya kifahari yamefichwa,Zuma mwizi,bokasa,hao kwa uchache,wakoloni weusi ujali matumbo yao kuliko wananchi wao,ufanana tabia,ni walafi,wapenda starehe,washirikina,wezi,wauaji,wazinzi.Africa kuendelea ni ndoto.
Amekula raha sehemu kubwa ya maisha yake, labda alisumbuka wiki ile ya mwisho tu. It was worth it for him. Hakuna alichopoteza binafsi, alikula bata vilivyo.Mobutu kaishi Maisha ya anasa wakati wananchi hawapati huduma muhimu.
Viongozi wengine wa Afrika wajifuze yaliyo mkuta Mobutu yanaweza kumkuta Mseven, Kabila, Nkurunzinza na wengineo.Amekula raha sehemu kubwa ya maisha yake, labda alisumbuka wiki ile ya mwisho tu. It was worth it for him. Hakuna alichopoteza binafsi, alikula bata vilivyo.
Hivi ukila raha kwa miaka 67 halafu ukateseka kwa wiki moja tu ya mwisho ya maisha yako kuna ubaya gani?Viongozi wengine wa Afrika wajifuze yaliyo mkuta Mobutu yanaweza kumkuta Mseven, Kabila, Nkurunzinza na wengineo.
Nilitamani nikutukane lakini nikagundua waeza kuwa ni miongoni mwa tuliofeli shule kwa kutoshugulisha akili zetu pale tunapohisi hatuna jibuMleta Mada umeshindwa kabisa kuweka picha hata moja, moja tu!!?
msamehe bure..nikirudi kwenye haya magofu hata Chato patakuwa hivi baada ya muongo mmojaNilitamani nikutukane lakini nikagundua waeza kuwa ni miongoni mwa tuliofeli shule kwa kutoshugulisha akili zetu pale tunapohisi hatuna jibu
Unashindwa nini kutafuta hizo picha hata mtandaoni ama kutafuta hii kitu kwenye mtandao hasa hiatoria ya huyo mtu
Lakini pia kama unadanganywa kwanini usiende kongo kujionea acha upuuzi wewe na wenzioView attachment 749530
WaTz wangelikusoma na kukuelewa [emoji85] [emoji120]Sio yeye ni wakoloni weusi wote ufanana tabia na matendo kuuibia wanyonge kwa mgongo wa mtetezi wa wanyonge kumbe ni wapigaji wakubwa,Trump alisema ni shit hole kabisa tazama wanaibia watu wao wanakuja kuficha kwenye mabenki yetu,heri tusingedai Uhuru tungekuwa tunakaribiana na ulaya kuliko kutawaliwa na wakoloni weusi hawa,huku tirion 1.5,Angola binti wa raisi mwizi,kabila mtoto mwizi,Mobutu mwizi,Mugabe mwizi,raisi wa Nigeria kakutwa na maburungutu ya madola kwenye masafe ya nyumbani, mchawi yahya jameih mwizi yalikutwa porini Magari ya kifahari yamefichwa,Zuma mwizi,bokasa,hao kwa uchache,wakoloni weusi ujali matumbo yao kuliko wananchi wao,ufanana tabia,ni walafi,wapenda starehe,washirikina,wezi,wauaji,wazinzi.Africa kuendelea ni ndoto.