Mkuu, nikiwa narudi whatsapp ya kawaida natakiwa kufanya nini kabla ya ku-install hii kiongozi.
Nini cha kuzingatia, back up, au bila ya kuback up pia it's okay.
Natakiwa niitoe kwanza whatsapp ya kawaida then ndo niinstall hii GB au naweza kuinstall tu bila ya kuiondoa mkuu.
Thanks.