Gazeti la Uhuru: CHADEMA waingiza vijana msituni

Gazeti la Uhuru: CHADEMA waingiza vijana msituni

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,222
Reaction score
138,669
Gazeti la Uhuru limeendelea na propaganda chafu kuvuruga amani ya nchi.Gazeti la leo uk.5 limeripoti kuwa CHADEMA imeingiza vijana msituni kwa ajili ya kujiandaa kufanya vurugu uchaguzi mkuu.Cha ajabu ni kwamba hata jina la msitu wameshindwa kutaja,kwa kuwa ni kosa la kuhatarisha amani wameshindwa hata kuonyesha kama wameripoti polisi
 
Mambo haya ndiyo yalileta vurugu Kenya. Kulikuwa na redio na magazeti yaliyoaminisha watu mambo ya uongo. Mi nahisi wao ndo wana andaa jeshi. Tumeona ya Masaburi juzi, lakini hata Polisi na NEC walikaa kimya. Kimya hiki kinaashiria Luna jambo linapikwa kwa pamoja. Likitokea LA kutoka, lawama zote watabebesha UKAWA. Ndo zao. Tumeona msbslozi na waangalizi wamezibwa midomo tayari.
 
Hata mimi nimeshangaa yani hivi waandishi wa hili gazeti wamesoma vyuo gani? pambaf thana
 
Haya yatafahamika tu, ukweli hauwezi kufichika milele.
 
HALA KAJARIDA KAO KA KINAFIKI KWELI KATAWEZA KUIEPUKA """THE HAGUE"""
KAKO MBELE KUJARIBU KUHARIBU AMANI YA NCHI YETU!/ PIA SIJUI KAMA HATA KUNA ANAYEKANUNUAGA
##########
KIBAYA NEC KUFUMBIA MACHO USHENZI HUU.
ii
 
Mamlaka husika kimya!!!! Tutaona mwisho Wa huo uchochezi.
 
Ccm wataenda jehenamu mapema yesu akirudi kwann wanatuvunjia Amani ya nchi yetu lo! inauma sana kiukweli.
 
Hata Raia Mwema liliandika kuhusu muungano fulani wa kihuni, ambao unaandaa vijana 15,000 kwa ajili ya vurugu. Wanajua kabisa mtu wao legelege atashindwa hivyo wanatengeneza fujo
 
Wananchi tutaamua ni nani wa kutuongoza kwa miaka 5 ijayo. C.C.M tafadhali waache propaganda hatarishi. Namsubiri Dotto E.Bulembu Star tv Jumapili atusaidie kulichambua. Baraza la habari,M.C.T, hebu toeni neno hapo.
 
Mambo haya ndiyo yalileta vurugu Kenya. Kulikuwa na redio na magazeti yaliyoaminisha watu mambo ya uongo. Mi nahisi wao ndo wana andaa jeshi. Tumeona ya Masaburi juzi, lakini hata Polisi na NEC walikaa kimya. Kimya hiki kinaashiria Luna jambo linapikwa kwa pamoja. Likitokea LA kutoka, lawama zote watabebesha UKAWA. Ndo zao. Tumeona msbslozi na waangalizi wamezibwa midomo tayari.

Mkuu tayari vijana wa icc wapo bongo hivyo kila upumbavu unaofanywa na hilo gazeti unachukuliwa kwa taadhali kubwa
 
Wananchi tutaamua ni nani wa kutuongoza kwa miaka 5 ijayo. C.C.M tafadhali waache propaganda hatarishi. Namsubiri Dotto E.Bulembu Star tv Jumapili atusaidie kulichambua. Baraza la habari,M.C.T, hebu toeni neno hapo.

Mkuu Bulendu huwa yuko vizuri ingawa anafanyia kazi ktk mazingira magumu sana pale ilemela kwa kada wa ccm
 
Hata Raia Mwema liliandika kuhusu muungano fulani wa kihuni, ambao unaandaa vijana 15,000 kwa ajili ya vurugu. Wanajua kabisa mtu wao legelege atashindwa hivyo wanatengeneza fujo

Serikali dhaifu sana hii
 
Lile gazeti ambalo mwandishi wake alikula kichapo katika maandamano feki limeendelea na propaganda chafu kuvuruga amani ya nchi.Gazeti la leo uk.5 limeripoti kuwa Chadema imeingiza vijana msituni kwa ajili ya kujiandaa kufanya vurugu uchaguzi mkuu.Cha ajabu ni kwamba hata jina la msitu wameshindwa kutaja,kwa kuwa ni kosa la kuhatarisha amani wameshindwa hata kuonyesha kama wameripoti polisi

TCRA walitoze faini na onyo kali wakishindwa kuthibitisha madai hayo.
 
Back
Top Bottom