Gazeti la Tanzania Daima latumika kumsafisha Membe(?)

uhuru wa habari upo kulinda habari usiozipenda wewe na huyo nyapara wako. cha ajabu mnataka uhuru huu ulinde habari mzioendazo ! mmekataza hata tusione taarifa za habari kupitia vingamuzi kwa hoja za ajabu kabisa bado mnataka MAGAZETI nayo?
 
Ni vema ukileta vichwa vya habari vyote kwa matukio yote mawili kwa wiki mbili....ili nasi tujiridhishe...bila hivyo utakuwa unajipigia ngoma halafu unacheza mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…