Gazeti la Rai Mwema na Dr. Magufuli

Gazeti la Rai Mwema na Dr. Magufuli

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,209
Reaction score
162,780
Hili gazeti leo limetoka na habari kuu katika ukurasa wa mbele inayosomeka:

"Namna Dr.Magufuli alivyochota mabilioni."

Ngoja nikatafute copy yangu ili nijue ni nini kimeandikwa kabla sijasema chochote hapa.
 
Hili gazeti leo limetoka na habari kuu katika ukurasa wa mbele inayosomeka:

"Namna Dr.Magufuli alivyochota mabilioni."

Ngoja nikatafute copy yangu ili nijue ni nini kimeandikwa kabla sijasema chochote hapa.
Limeandika kuhusu ununuzi wa ndege 2kwa pesa ambazo zilikuwa kwenye akiba na si za mkopo. Ni habari chanya (kwa mtazamo wangu).

Kaka.
 
sas wew hujasoma habari yenyewe unaleta uzi....kwa taarifa yako ni jinsi alivyopata pesa za kununua ndege mbili za ATC
Hahahahahahaaaaaaaa! Wameingia chaka! Wanadhani ni ile tabia ya Lowasa ya kuchota mabilioni kwa njia ya kifisadi
 
Limeandika kuhusu ununuzi wa ndege 2kwa pesa ambazo zilikuwa kwenye akiba na si za mkopo. Ni habari chanya (kwa mtazamo wangu).

Kaka.
hilo gazeti ni wanga hao...viva jpm, a luta continua, vinceremos.
 
Hahahahahahaaaaaaaa! Wameingia chaka! Wanadhani ni ile tabia ya Lowasa ya kuchota mabilioni kwa njia ya kifisadi
Toka habari ya Luhwavi na kumuhusisha yule wa K'ndoni na ID za JF,Zenda kapewa kibarua kwenda na wewe mguu kwa mguu.Akikamilisha kazi wanakuumbua...Maana kwa sasa ni almost over
 
Hahahahahahaaaaaaaa! Wameingia chaka! Wanadhani ni ile tabia ya Lowasa ya kuchota mabilioni kwa njia ya kifisadi
Kwani lazima umuongelee Lowasa kwenye kila kitu, Kwa nini usifananishe na yule aliyekua akikwapua toka kwenye akiba kwa ajili ya kusafiria?
 
kwa kichwa hicho cha habari,wengi wataingia mkenge kulinunua gazeti,halafu wakisoma ndani wanakuta tofauti na walivyofikiri kutokana na kichwa cha habari,halafu raia mwema wajanja ,hapo nje hawajagusia hata kidogo,hii ni kumvuta mtu anunue gazeti,tha s what we call strategy ili kuvuta mtu atoe book yake kununua gazeti
 
Limeandika kuhusu ununuzi wa ndege 2kwa pesa ambazo zilikuwa kwenye akiba na si za mkopo. Ni habari chanya (kwa mtazamo wangu).

Kaka.
Kweli ni habari chanya. Ila uandishi wa namna hii ni sawa na kuomba rushwa, sawa tu na polisi kukutisha ili umpe chochote.
 
Limeandika kuhusu ununuzi wa ndege 2kwa pesa ambazo zilikuwa kwenye akiba na si za mkopo. Ni habari chanya (kwa mtazamo wangu).

Kaka.
Je, ni sahihi?Kwanini aliapa kulinda katiba kama alijua atafanya atakavyo?
 
Je, ni sahihi?Kwanini aliapa kulinda katiba kama alijua atafanya atakavyo?
Nanukuu "Hizo bn 120 tulizotumia kulipia hizo ndege zilikua ni akiba ya baadhi ya mashirika na taasisi za serikali ambazo hazikua zimepangiwa matumizi, huko nyuma hizo fedha zingetumiak kupeleka watu Dubai au Singapore kwenye ziara ya mafunzo au ulaji mwengine" Ushawah sikia funga mwaka? Ndo hela zinaendaga huko
 
Back
Top Bottom