Nimefurahi sana maana nimenunua hili gazeti nimekuta huu utumbo ulioandikwa humu,nikaona ni uzandiki na uzabina zabina na bendera fuata upepo. Fungia gazeti milele
Kubenea alishapoteza credibility kwa jinsi alivyokuwa akimshambulia Lowassa na kumchafua kwa zaidi ya miaka 10 kumbe hata ushahidi hana. Ni mtu wa kupuuzwa!