Gazeti la MwanaHalisi lapewa saa 24 kuomba radhi kwa kumchafua Rais Magufuli

Hata mimi nilivyoisoma asubuhi nikasema Israel kaguswa hapa kutakucha kweli bila karipio? Ningeshangaa, Rais kaguswa.

Mapilato tupieni na jicho pale kwenye hazeti letu la chama chetu tukufu TAZAMA nalo linatukana sana viongozi wa upinzani hata Kama hatuwapendi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…