Tafuteni msome kuna tuhuma za warioba na kampuni yake
nimeichapa na kuweka uzi humu umeondolewa fasta fasta
kwahayo magazeti hatuyaamini tena kwani watu waliokuwa wakiwaandika mafisadi pamoja na kutoa vielelezo leo wanatuambia hawakuwa mafisadi bali ni mfumo yamejishushia heshima
hayo magazeti hatuyaamini tena kwani watu waliokuwa wakiwaandika mafisadi pamoja na kutoa vielelezo leo wanatuambia hawakuwa mafisadi bali ni mfumo yamejishushia heshima
hayo maswali waulize mwanahalisi na mawio ambao ndio walikuwa wanatuandikia na kuonyesha nyaraka za ufisadi halafu waulize ni mahakama ipi iliwasafisha hao mafisadi kwa kifupi nao ni watafutaji wa fursa kwani wameweza kununulia sasa hivi hata bure gazeti lao sisomi kwani ni wababaishajikwa
hiyo unataka kutuambia kwamba magazeti ndio yanachukulia wezi hatua sio serikali? Mbona escrow mlikataa baada ya kubinywa mavi mkasema ni kweli?
Kwani mkuu wale wa escrow mliwapeleka mahakamani?
Nchi ya vibaka wavaa suti na kutembelea mashangingi. Lini fisadi alipewa uwaziri mkuu,ubunge,waziri wa ardhi, waziri wa maji,m/kiti wa kamati ya ulinzi ya bunge?
I can see type ya watu mliojazana huko kwa hiyo naomba tuishie hapo. maana kama huelewi umeulizwa swali ni shida.hayo maswali waulize mwanahalisi na mawio ambao ndio walikuwa wanatuandikia na kuonyesha nyaraka za ufisadi halafu waulize ni mahakama ipi iliwasafisha hao mafisadi kwa kifupi nao ni watafutaji wa fursa kwani wameweza kununulia sasa hivi hata bure gazeti lao sisomi kwani ni wababaishaji