Gazeti la Majira: CUF walaani Udini unaodaiwa kuenezwa na Mwenyekiti wake

TATIZO HUJALIONA, lOL, NDIO watetezi wake hawa, kizazi cha watu hafifu kufikiri.
Amekiri kuwa yeye na Mashekhe walizunguka kusaidia Bwana mkubwa ambae leo wanamlaumu amewasaliti...huoni tatizo la siasa za misikitini, Ujinga wa kiwango cha juu huu

Ila wewe unakubali siasa za makanisani? Huu ni ujinga wa kiwango cha chini ee? Kweli nyani haoni......!
 
Wacha maneno ya hovyo hovyo hiyo ni haki yake watu wamesha amka chadema wamefanya udini mara ngapi au munafanya siri tunajua yote LIPUMBA BAEREZE BAELEWE wamemwaga mboga na wewe mwaga ugali kama mbaya wacha iwe mbaya.
rafiki acording to lipumba amesema mwaka 1995 alliingia kwenye kinyanyiro kwasababu aliona kuwa waislamu............sio kuwa walikuwa wamelala na akakiri wazi kuwa haikuwa raisi kama alivyo dhani wewe, rafiki unasema ndio wameaka na wakati kazi anayoifanya lipumba sasa hivi alianza kuifanya toka 1995
 
Basi kwa mwendo huo hata kwenye baraza la IDD msialike wanasiasa mbona mwawaalika? wakienda kuchangia ujenzi wa makanisa kuna habari zozote za kisiasa na kujipanga zinaongelewa?

Tukisubiri hadi mtu atuembie kuwa sasa nafanya siasa hapa kanisani au msikitini tuntakuwa tumekosa uwezo aliotupa Mungu wa kufikiri. Tunaweza kutambua mambo si kwa kusikia matamshi tu, bali pia kwa kuona vitendo vya watu na kuvipima. Mathalani, ukiona mtu anaingia nyumbani kwako na kuchukua vitu sebuleni, huitaji akutamkie kuwa "nimekuja kuiba". Tusijifanye hatujui wala hatuoni mienendo ya wanasiasa wanaotumia makanisa kujijenga.
 
Arusha mkuu Tanzanite imetoka lakini unakubaliana na mimi madini ndiyo yalioiendeleza Arusha mpaka sasa limekuwa JIJI kubwa!

Kwa kiwango kidogo, Arusha imekuwa kutokana na mambo mengi, kahawa, hali ya hewa, utalii, jumuiya ya afrika mashariki iliyovunjika, jumuiya ya afrika mashariki, mahakama ya Rwanda nk. Kumbuka Mererani ipo Manyara hali ya Mererani kiuchumi sio nzuri kama ilivyotarajiwa.
 
Hiki hakipo uliposoma ee?
1) Kwa hiyo ni muhimu kuandaa viongozi, kushirikiana nao na kushikamana nao na kuwadhibiti kwa lengo la kuwasaidia kuwa jasiri walio waaminifu katika kazi zao.

Na hiki nacho kimechomekwa?

2) Kwa hiyo tujadili pamoja na kama jumuiya za kanisa ni lazima tujifunze kuhimiza mahitaji yetu yazingatiwe na wenye maamuzi. Maoni yetu yasikilizwe na kufanyiwa kazi, tunu za kikristo tunazosimamia zionekane katika sera na katika mgawanyo wa bajeti ya serikali.

Kama hivyo vipengele havipo, kweli Tanzania tuna kazi kubwa sana kupata mshikamano wa kweli!
Kiongozi bora ni yule aliefunzwa toka utotoni maadili mema,kumcha Mungu,kuwapenda wengine,asiwe mbinafsi wala choyo,hili hutolewa na viongozi wa dini na pia wazazi waliokulia mazingira ya maadili.
Pili,ukisoma waraka mzima unamkumbusha mwananchi na serekali kuhusu maendeleo ya nchi,fursa za kijamii na mahitaji ya kijamii ambayo kanisa imekuwa ikitoa haswa vijijini ukiwa chini ya serekali kama kiongozi lazima idhaminiwe,icho kipengele kanisa linaikumbusha serekali katika kuendeleza na kuboresha zile tunu ilizoazisha ambapo serekali imeraisishiwa,kanisa linapoendesha huduma za afya ambazo ni wajibu wa serekali basi ni wajibu wa serekali iliyoingia ubia na makanisa kuzingatia mahitaji ya huduma hizo,na ukumbuke sio kanisa limeingia ubia bali serekali...
 
Kiongozi bora ni yule aliefunzwa toka utotoni maadili mema,kumcha Mungu,kuwapenda wengine,asiwe mbinafsi wala choyo,hili hutolewa na viongozi wa dini na pia wazazi waliokulia mazingira ya maadili.
Pili,ukisoma waraka mzima unamkumbusha mwananchi na serekali kuhusu maendeleo ya nchi,fursa za kijamii na mahitaji ya kijamii ambayo kanisa imekuwa ikitoa haswa vijijini ukiwa chini ya serekali kama kiongozi lazima idhaminiwe,icho kipengele kanisa linaikumbusha serekali katika kuendeleza na kuboresha zile tunu ilizoazisha ambapo serekali imeraisishiwa,kanisa linapoendesha huduma za afya ambazo ni wajibu wa serekali basi ni wajibu wa serekali iliyoingia ubia na makanisa kuzingatia mahitaji ya huduma hizo,na ukumbuke sio kanisa limeingia ubia bali serekali...

Ziongate

2) Kwa hiyo tujadili pamoja na kama jumuiya za kanisa ni lazima tujifunze kuhimiza mahitaji yetu yazingatiwe na wenye maamuzi. Maoni yetu yasikilizwe na kufanyiwa kazi, tunu za kikristo tunazosimamia zionekane katika sera na katika mgawanyo wa bajeti ya serikali.

'' tunu za kikristo tunazosimamia zionekane katika sera na katika mgawanyo wa bajeti ya serikali''.

Wasaidie maaskofu (TEC)

>>ni tunu gani za kanisa ambazo mnataka ziingizwe katika sera za Tanzania na katika mgawanyo wa bajeti?


 
Ila wewe unakubali siasa za makanisani? Huu ni ujinga wa kiwango cha chini ee? Kweli nyani haoni......!
hakuna anaefanya siasa za makanisani, kwenda kuchangisha fedha , kuhamasisha utoaji kwa huduma za jamii.

inawezekana hata video nyenyewe hujaitazama, Lipumba anawakumbusha Mashekhe wale kuwa walifanya kazi kubwa baada ya kuona maji ya shingo kumuokoa Bwana Mkubwa....ambapo baadae bwana mkubwa inaonesha amewatosa na agenda zao za kipuuzi.
kama hujaelewa nitaelewa kwanini Lipumba anazitumia akilizenu finyu
 
hakuna anaefanya siasa za makanisani, kwenda kuchangisha fedha , kuhamasisha utoaji kwa huduma za jamii.

inawezekana hata video nyenyewe hujaitazama, Lipumba anawakumbusha Mashekhe wale kuwa walifanya kazi kubwa baada ya kuona maji ya shingo kumuokoa Bwana Mkubwa....ambapo baadae bwana mkubwa inaonesha amewatosa na agenda zao za kipuuzi.
kama hujaelewa nitaelewa kwanini Lipumba anazitumia akilizenu finyu

>>Nimeisikiliza vizuri sana, Lipumba anawasimanga wale masheik waliokuwa wakimpigia debe kwamba licha ya kumpigia debe lakini hakuna hata ambacho amewafanyia kwa hiyo anawaasa wawe makini next time. Ubaya uko wapi?

>>Hakuna anayefanya siasa makanisani? Unafunika kombe sio?

Sasa kwanini mliandaa ilani ya uchaguzi mwaka 2010 kwa kusihirikiana na TEC?
 
Ziongate

2) Kwa hiyo tujadili pamoja na kama jumuiya za kanisa ni lazima tujifunze kuhimiza mahitaji yetu yazingatiwe na wenye maamuzi. Maoni yetu yasikilizwe na kufanyiwa kazi, tunu za kikristo tunazosimamia zionekane katika sera na katika mgawanyo wa bajeti ya serikali.

'' tunu za kikristo tunazosimamia zionekane katika sera na katika mgawanyo wa bajeti ya serikali''.

Wasaidie maaskofu (TEC)

>>ni tunu gani za kanisa ambazo mnataka ziingizwe katika sera za Tanzania na katika mgawanyo wa bajeti?


Jumuiya za kanisa ni wakristu na wote wenye mapenzi mema,mahitaji ya kanisa yanapatikana katika zile huduma za kijamii inazotoa ambapo serekali inapaswa kuzihudumia kwani zipo chini ya uangalizi wa kanisa,maoni ni kuhusu uboreshaji wa hizo huduma..hizo ndio tunu kanisa inazozisimamia...
 
Jumuiya za kanisa ni wakristu na wote wenye mapenzi mema,mahitaji ya kanisa yanapatikana katika zile huduma za kijamii inazotoa ambapo serekali inapaswa kuzihudumia kwani zipo chini ya uangalizi wa kanisa,maoni ni kuhusu uboreshaji wa hizo huduma..hizo ndio tunu kanisa inazozisimamia...

Huoni kama huo ni ubaguzi? Serikali inapaswa kutenga bajeti kwa ajili ya watanzania wote bila kujali dini zao. Nyie kwa kushirikiana na TEC mnataka huduma zenu kwa ajili ya wakristo ndio zisikilizwe kwanza zaidi kuliko za watanzania wengine?

Huoni kuwa huu ni unyonyaji, ubaguzi na ubinafsi wa kidini?
 
Tokea zamani inajulikana ya kwamba mtaji wa CUF ni Waislamu,ukipinga ujue utakuwa na matatizo ya akili.

CHADEMA nao wakatumia Busara na Hekima kumfanya Padre awe katibu mkuu wa Chama,hakutosha wakamsimamisha kuwa mgombea Uraisi kupitia chama chao 2010 kwa vile katiba anamruhusu ili wapate umaarufu wa kisiasa na kweli mtaji wao ulikuwa mzuri sana.

Masheikhe nao sio wendawazimu hawawezi kukubali kuona Ikulu inaongozwa na Padre hivyo wale waislamu ambao ndio mtaji wa CUF wakatumia busara na hekima zao wakampigia kura Kikwete aka Mr.Dhaifu kwasababu kama wangempigia kura Lipumba walidhani Padre angeshinda na kuongoza nchi.

Na maaskofu nao sio wendawazimu wakatumia busara na hekima zao kumuunga mkono mchung kondoo mwenzao ambaye alishawai kuwa katibi mkuu wa baraza la maaskofu Tanzania.

Na hii hali itakuwa mbaya zaidi kama huyu Padre na katibu mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu tanzania ataingia Ikulu.Huyu Padre haitaji kupiga kampeni makanisani kama anvyofanya Lipumba,historia yake tu huyu padre na katibi mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu Tanzania inampigia kampeni makanisani.

Hivyo basi wale wanaodai Video ya Padre Slaa akifanya kampeni makanisani video yake ni historia yake inatosha sana.

Najua kuna watu watakuja kusema hapa mimi ni CCM,hizo akili ndogo zisizokubali ukweli.
 
>>Nimeisikiliza vizuri sana, Lipumba anawasimanga wale masheik waliokuwa wakimpigia debe kwamba licha ya kumpigia debe lakini hakuna hata ambacho amewafanyia kwa hiyo anawaasa wawe makini next time. Ubaya uko wapi?

>>Hakuna anayefanya siasa makanisani? Unafunika kombe sio?

Sasa kwanini mliandaa ilani ya uchaguzi mwaka 2010 kwa kusihirikiana na TEC?
Mkuu acha unafki,weka hapa huo ushirikiano uliofanyika kuanda hiyo ILANI,baraza la maaskofu ndio walioandaa hao wengine wanahusika nini...
 
Tokea zamani inajulikana ya kwamba mtaji wa CUF ni Waislamu,ukipinga ujue utakuwa na matatizo ya akili.

CHADEMA nao wakatumia Busara na Hekima kumfanya Padre awe katibu mkuu wa Chama,hakutosha wakamsimamisha kuwa mgombea Uraisi kupitia chama chao 2010 kwa vile katiba anamruhusu ili wapate umaarufu wa kisiasa na kweli mtaji wao ulikuwa mzuri sana.

Masheikhe nao sio wendawazimu hawawezi kukubali kuona Ikulu inaongozwa na Padre hivyo wale waislamu ambao ndio mtaji wa CUF wakatumia busara na hekima zao wakampigia kura Kikwete aka Mr.Dhaifu kwasababu kama wangempigia kura Lipumba walidhani Padre angeshinda na kuongoza nchi.

Na maaskofu nao sio wendawazimu wakatumia busara na hekima zao kumuunga mkono mchung kondoo mwenzao ambaye alishawai kuwa katibi mkuu wa baraza la maaskofu Tanzania.

Na hii hali itakuwa mbaya zaidi kama huyu Padre na katibu mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu tanzania ataingia Ikulu.Huyu Padre haitaji kupiga kampeni makanisani kama anvyofanya Lipumba,historia yake tu huyu padre na katibi mkuu mstaafu wa baraza la maaskofu Tanzania inampigia kampeni makanisani.

Hivyo basi wale wanaodai Video ya Padre Slaa akifanya kampeni makanisani video yake ni historia yake inatosha sana.

Najua kuna watu watakuja kusema hapa mimi ni CCM,hizo akili ndogo zisizokubali ukweli.
Unajichungulia mwenyewe alafu unatuambia umevaa nini kwani nani kakuuliza.,padri au shekhee au mchungaji ni jina tu kama majina mengine ila yeye ni zaidi ya hilo jina.,haipunguzi wala kuongeza chochote kwa kumwita Slaa Padri ili hali sio Padri,kwetu sisi ni muumini kama wengine,ukisema maaskofu walimpigia upatu wakati huna ushaidi ni ujinga na umaskini wa akili,sawa na laana na utautolea maelezo siku moja...
 
Udini ushakua nijanga lakitaifa tulipo fikia kama taifa ningumu kupambana na haliiyo, tutabaki kuukemea ilhali nyoyozetu/matendo yetu yamejaa udini. Mfano mzuri ni wanasiasa wetu, tume shuudia kwamuda mrefu Mha.E.Lowasa akishinda makani sani huku akifanya harambe , Harambe ambayo ilikua ikiambatana na kauli mbali mbali yakuwahamasisha wacristo wenzake wazidi kupiga hatua zakimaendeleo, Lakini leo imekua tatizo kwa Muislamu (Lipumba) kuingia msikitini nakuwahamasisha waislam wenzie wajipange. Ukiangalia kwaundani wanao pigia kelele suala hilo utagundua wanaudini wa halilyajuu.

Tatizo si kwenda msikitini au kanisani, tatizo ni unalolisema ukiwa huko. Lipumba dhahiri alienda msikitini kwa malengo ya kuwagawa watanzania kwa misingi ya kidini ilhali kama msomi anajua wazi kuwa umaskini wetu hauna dini. Lipumba aliyenifundisha chuo kikuu alikuwa anachambua vilivyo matatizo ya nchi yetu na nini kifanyike. Huyu anayehubiri siasa za chuki ktk nyumba za ibada siyo yule.
 
So kama ni maoni binafsi CHADEMA waliyakubali au waliyapinga? That is the question. Lipumba na yeye alienda pale kama muumini tu! Tatizo liko wapi?

search John Mnyika then own thread utaliona tamko kuhusu Mtei,nimeshindwa ku attach

Marekebisho waliopendekeza bungeni na kupita uchochoroni kufika Ikulu,uliwahi kusikia kama chama wakiongelea dini za wajumbe
 
Lipumba amewaanika CHADEMA kwa siasa zenu za udini. Nitakupa mifano kama unavyoitaka:

1) EDWIN MTEI muasisi wa CHADEMA alitoa kauli kupinga uundaji wa tume ya mabadiliko ya katiba kwa vile ina waislamu wengi. Huu si uchochezi na udini. Huyo naye alifuatiwa na wabunge kadhaa wa CHADEMA Selasini, LEMA na kama kawa mchungaji Msigwa. In short hawa wote wako kwa ajili ya kulinda kanisa.

2) Ile ilani ya uchaguzi ya baraza la maaskofu (TEC) iliyotolewa 2010 kuhamasisha wakristo kuchagua kiongozi aliyeandaliwa na kanisa. i.e alumni wa TEC mnajuwa Padri wenu ambaye mpaka sasa ndiye chaguo lenu.

Ushahidi gani tena mnautaka kuonesha kwamba wadini wakubwa ni CHADEMA.

Lipumba kwenye video anawaumbua nyie CHADEMA kwa kuligawa taifa mapande kwa kutumia kanisa. Kosa lake liko wapi? Mlitaka akae kimya?

You are the one to shut it up! Mkita siasa za kistaarabu acheni udini wenu kwanza.

Kama umemsikiliza vizuri Lipumba anadai kauli ya Edwin Mtei kuhusu tume ya katiba inahusu wakristo kujipanga.... very poor reasoning ni bora angesema linahusu chadema kwa mbali lakini pia Mtei yuko nje ya jukwaa la kisiasa angalau unaweza kusema ni mawazo yake binafsi tofauti na pale angesema akiwa mwenyekiti wa chadema. Maoni ya Mtei aliyatoa kibinafsi zaidi kama ulimnukuu vema lakini Lipumba anakifungamanisha chama chake na siasa za kupanga njama za kidini kumpa mgombea mwingine. Namheshimu lakini amenivunja sana MOYO.

Kama hukusoma tamko la maaskofu ni bora ukakaa kimya hata watu wa imani yako waliosoma watakucheka. Ni bora kama matamko ya kidini hayatakiwi tuzungumze lakini sio kusingizia kuwa tamko lile lilikuwa na maneno ya kuwapanga wakristo dhidi ya uislamu. Acha maneno ya kuambiwa lipo hapa Jf jisomee utaelewa kilichomo.
 
Back
Top Bottom