This is just my thinking aloud, kwa vile the owner is too proud to be defited, ameamua kulisusa na kuliabandon jumla ili kuionyesha serikali, Kulikoni is not a big deal.
Kwa mtazamo wangu, Media Solution iko ICU kwenye deathbed ikipumulia mashine. Mafisadi wamethibisha tena wao ni zaidi. This Day litaunganishwa na The Guardian staff wote watarudi kule, Mzee atabuni biashara nyingine.