kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,056
- 1,377
Yaani BOT ipo chini ya Wizara ya Fedha. Automatically Gavana ni mdogo kwa Katibu wa Wizara.Kila nikiandika nafuta.
Nakupa mfano mdogo tu jibu utalipata mwenyewe.
Mkuu wa majeshi (CDF) anajulikana na kupewa heshima kubwa sana jeshini na pia yupo karibu sana na raisi wa nchi.
Lakini anapokutana na Katibu Mkuu wizara ya ulinzi kiitifaki yeye ndio anatakiwa kumpa heshima Katibu wa wizara (kumsalute) kwa sababu jeshi analoliongoza lipo chini ya wizara ya ulinzi, na katibu mkuu ndio mtendaji mkuu wa shughuli zote za wizara hiyo.
Maana miongozo yote inatokea Wizarani na mtendaji mkuu wa wizara ni Katibu.