CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 929
Hajafa na binafsi yeye mwenyewe anazishangaa hizi taarifa.By the way he is not a dead man!
Yeye ni mzima na sasa hivi yupo club anapata mvinyo na huku toto zimemzunguka kama kawaida yake.
Baada ya kupata taarifa hii ya tetesi first of all niliikumbuka robo final ya Brazil na England jamaa aliwatungua hawa mabishoo goal la faulo mita40.
Yeye ni mzima na sasa hivi yupo club anapata mvinyo na huku toto zimemzunguka kama kawaida yake.
Baada ya kupata taarifa hii ya tetesi first of all niliikumbuka robo final ya Brazil na England jamaa aliwatungua hawa mabishoo goal la faulo mita40.