Gastric na gesi tumboni inavyoniua

Gastric na gesi tumboni inavyoniua

Habari wakuu
Nimetafuta japo uzi wenye kuelezea dawa kwa aliyekwishanza kuathirika na gastric. Naombeni msaada naishu kwa kutafuna tangawizi usiku kucha
Mkuu Anza Kwanza kwa kuua bacteria wanaosababisha Hali hiyo. Mi nilikuwa namateso makubwa kuliko wewe hadi nilivyopewa hii dose hapa ndio Hali ikatulia
 

Attachments

  • DSC_0471.JPG
    DSC_0471.JPG
    778.7 KB · Views: 26
Una Kitambi Cha Juu?

Jaribu kusoma kuhusu Diaphragmatic/ Hiatal Hernia

Linaweza kuwa ndo tatizo lako.
 

Attachments

  • Screenshot_20250523-175659.jpg
    Screenshot_20250523-175659.jpg
    232.5 KB · Views: 26
Badilisha menu mkuu.. Me ni muhanga lakini nikiacha kula kula hovyo walah napona kabisaaa. Jaribu kufunga hata siku 2 uwe unakula mara moja tu,tena uww unakula vyakula visivo na gas utaona unavosikia ahueni
 
Tumia hizo dawa zitakusaidia ata wagonjwa wa bawasili zitawapa matibabu, maana bawasili pamoja na sababu nyingine ni matokeo ya vidonda vya tumbo katika utumbo mpana
 

Attachments

  • Screenshot_20250509-054638_Chrome.jpg
    Screenshot_20250509-054638_Chrome.jpg
    200.1 KB · Views: 30
Mkuu Anza Kwanza kwa kuua bacteria wanaosababisha Hali hiyo. Mi nilikuwa namateso makubwa kuliko wewe hadi nilivyopewa hii dose hapa ndio Hali ikatulia
Heligokit tumia hii mkuu, kama h pylori ni positive
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom