Gari za Ulaya/Marekani hazitaki ubabaishaji kabisa

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
May 4, 2020
3,327
9,328
Kama unanunua hizi gari za ulaya na unakuwa mjanja mjanja kwenye service na maintenance zingine basi huwezi kufika mbali kabla hujaanza kuzibatiza majina ajabu ajabu, mara pepo, mara jini, n.k.

Kama una mentality ya kuendesha tu na hukumbuki service basi hizi gari hazikufai. Mtamlaumu tu mtu alikushauri kununua lakini uzembe utakuwa ni kwa kwako.

Hizi screen shot nimeambatanisha hapa chini ni Audi A4 2.0 ya mwaka 2003. Gari inang'aa na ni namba DNU. Aiseee tulipokuja kupima na mashine tuliyokutana nayo tukaona tumechoka.

Hebu cheki

Kwanza ukianzia tu hapa System 7 kwenye gari haziko sawa. Engine ikiwa inaongoza ikiwa na DTC 15.


Screenshot_2021-08-21-11-16-30-049_com.us.thinkdiag.plus.jpg



Tuache hiyo mifumo mingine tuishie tu kwenye engine.

Hebu ona...

Screenshot_2021-08-21-13-31-45-529_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-08-21-11-20-10-077_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-08-21-11-20-07-183_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-08-21-11-20-03-537_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Screenshot_2021-08-21-11-19-56-110_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Hivi unaendeshaje gari yenye mazingira kama hayo?

Straight forward, Engine coolant temp. sensor na intake air temperature sensor zishajifia na kwenye live data inasoma -54 C. Ukiacha hizo faults zingine, hizi sensor mbili tu zinamla mafuta hana hamu na hiyo gari.

Hiyo Camshaft position sensor ishajifia na gari inamsumbua kuwaka, na yeye bila kujua angeenda kuingia hasara kwa maana alikuwa anawaza akanunue battery nyingine.

Honestly speaking, Ni rahisi kurekebisha gari ya Ulaya/Marekani. Kuliko gari za Japan/Asia kwa sababu kuu tatu,

1. Gari za Ulaya/Marekani zipo sensitive sana kwenye kutrigger code(DTC's) linapotokea tatizo. Hivyo inakuwa ni rahisi kuona tatizo ukipima.

2. Ni rahisi mno kupata repair manual ya gari ya Ulaya/Marekani kuliko kupata Manuals za gari za Japan/Asia (Except kwa gari za Japan/Asia zinazouzwa soko la Ulaya/Marekani). Ukiwa na vifaa plus hizo manual kazi inarahisishwa sana.

3. Kuna muingiliano mkubwa sana wa mifumo baina ya gari za Ulaya/Marekani. Kwa mifano,

(a) ZF transmission zinatumiwa makampuni mengi sana ya magari kuanzia BMW, Audi, Landrover, Jeep n.k.

(b) Siyo Ajabu ukakutana na Jeep ina gearbox ya mercedes.

(c) Siyo ajabu ukakutana na Landrover ina engine ya BMW/Jaguar.

Haya yote yanarahisisha sana utatuzi wa matatizo wa magari ya Ulaya/Marekani.

Alamsiki.
 
Magari ya kizungu kama bmw, Audi, Land Rover nk, ununue likiwa jipya km 0 ama likiwa limetumika kidogo. Ukichukua limechoka ujiandae kutoboka mfuko. Ndio maana resale value yake inashuka haraka sana.

Upo sahihi.


Watu wengi wanayauza baada ya kuona wamehangaika nayo sana. Lakini shida inaanzia kwamba watu wanawaza kuendesha tu bila kuwaza maintenance.
 
Sijui kama nitakuwa nimelielewa swali lako. Kupima electronically ndio kupi?

Kama ni hivyo kama kwenye hiyo picha then karibu. Nitakupimia.View attachment 1902008
Namaanisha kutafuta fault ya gari electronically na kujua genuine fault maana 90 percent ya Mafundi wana bahatisha na ngumu ku service gari . We ni Fundi mkuu ? Electronically maana yake unatumia computer kujua tatizo na nahsi hiyo yako hawezi kuwa kama hiyo si I pad ulobandika hapo as far as kifaa hicho unanapima ni sawa
 
Kama unanunua hizi gari za ulaya na unakuwa mjanja mjanja kwenye service na maintenance zingine basi huwezi kufika mbali kabla hujaanza kuzibatiza majina ajabu ajabu, mara pepo, mara jini, n.k.

Kama una mentality ya kuendesha tu na hukumbuki service basi hizi gari hazikufai. Mtamlaumu tu mtu alikushauri kununua lakini uzembe utakuwa ni kwa kwako.

Hizi screen shot nimeambatanisha hapa chini ni Audi A4 2.0 ya mwaka 2003. Gari inang'aa na ni namba DNU. Aiseee tulipokuja kupima na mashine tuliyokutana nayo tukaona tumechoka.

Hebu cheki

Kwanza ukianzia tu hapa System 7 kwenye gari haziko sawa. Engine ikiwa inaongoza ikiwa na DTC 15.


View attachment 1901857


Tuache hiyo mifumo mingine tuishie tu kwenye engine.

Hebu ona...

View attachment 1901858

View attachment 1901859

View attachment 1901860

View attachment 1901861

View attachment 1901862

Hivi unaendeshaje gari yenye mazingira kama hayo?

Straight forward, Engine coolant temp. sensor na intake air temperature sensor zishajifia na kwenye live data inasoma -54 C. Ukiacha hizo faults zingine, hizi sensor mbili tu zinamla mafuta hana hamu na hiyo gari.

Hiyo Camshaft position sensor ishajifia na gari inamsumbua kuwaka, na yeye bila kujua angeenda kuingia hasara kwa maana alikuwa anawaza akanunue battery nyingine.

Honestly speaking, Ni rahisi kurekebisha gari ya Ulaya/Marekani. Kuliko gari za Japan/Asia kwa sababu kuu tatu,

1. Gari za Ulaya/Marekani zipo sensitive sana kwenye kutrigger code(DTC's) linapotokea tatizo. Hivyo inakuwa ni rahisi kuona tatizo ukipima.

2. Ni rahisi mno kupata repair manual ya gari ya Ulaya/Marekani kuliko kupata Manuals za gari za Japan/Asia (Except kwa gari za Japan/Asia zinazouzwa soko la Ulaya/Marekani). Ukiwa na vifaa plus hizo manual kazi inarahisishwa sana.

3. Kuna muingiliano mkubwa sana wa mifumo baina ya gari za Ulaya/Marekani. Kwa mifano,

(a) ZF transmission zinatumiwa makampuni mengi sana ya magari kuanzia BMW, Audi, Landrover, Jeep n.k.

(b) Siyo Ajabu ukakutana na Jeep ina gearbox ya mercedes.

(c) Siyo ajabu ukakutana na Landrover ina engine ya BMW/Jaguar.

Haya yote yanarahisisha sana utatuzi wa matatizo wa magari ya Ulaya/Marekani.

Alamsiki.
Kwa mantiki hiyo, mpaka sasa itamgharimu angalau shilingi ngapi kwa ajili ya vifaa na matengenezo??
 
Kama unanunua hizi gari za ulaya na unakuwa mjanja mjanja kwenye service na maintenance zingine basi huwezi kufika mbali kabla hujaanza kuzibatiza majina ajabu ajabu, mara pepo, mara jini, n.k.

Kama una mentality ya kuendesha tu na hukumbuki service basi hizi gari hazikufai. Mtamlaumu tu mtu alikushauri kununua lakini uzembe utakuwa ni kwa kwako.

Hizi screen shot nimeambatanisha hapa chini ni Audi A4 2.0 ya mwaka 2003. Gari inang'aa na ni namba DNU. Aiseee tulipokuja kupima na mashine tuliyokutana nayo tukaona tumechoka.

Hebu cheki

Kwanza ukianzia tu hapa System 7 kwenye gari haziko sawa. Engine ikiwa inaongoza ikiwa na DTC 15.


View attachment 1901857


Tuache hiyo mifumo mingine tuishie tu kwenye engine.

Hebu ona...

View attachment 1901858

View attachment 1901859

View attachment 1901860

View attachment 1901861

View attachment 1901862

Hivi unaendeshaje gari yenye mazingira kama hayo?

Straight forward, Engine coolant temp. sensor na intake air temperature sensor zishajifia na kwenye live data inasoma -54 C. Ukiacha hizo faults zingine, hizi sensor mbili tu zinamla mafuta hana hamu na hiyo gari.

Hiyo Camshaft position sensor ishajifia na gari inamsumbua kuwaka, na yeye bila kujua angeenda kuingia hasara kwa maana alikuwa anawaza akanunue battery nyingine.

Honestly speaking, Ni rahisi kurekebisha gari ya Ulaya/Marekani. Kuliko gari za Japan/Asia kwa sababu kuu tatu,

1. Gari za Ulaya/Marekani zipo sensitive sana kwenye kutrigger code(DTC's) linapotokea tatizo. Hivyo inakuwa ni rahisi kuona tatizo ukipima.

2. Ni rahisi mno kupata repair manual ya gari ya Ulaya/Marekani kuliko kupata Manuals za gari za Japan/Asia (Except kwa gari za Japan/Asia zinazouzwa soko la Ulaya/Marekani). Ukiwa na vifaa plus hizo manual kazi inarahisishwa sana.

3. Kuna muingiliano mkubwa sana wa mifumo baina ya gari za Ulaya/Marekani. Kwa mifano,

(a) ZF transmission zinatumiwa makampuni mengi sana ya magari kuanzia BMW, Audi, Landrover, Jeep n.k.

(b) Siyo Ajabu ukakutana na Jeep ina gearbox ya mercedes.

(c) Siyo ajabu ukakutana na Landrover ina engine ya BMW/Jaguar.

Haya yote yanarahisisha sana utatuzi wa matatizo wa magari ya Ulaya/Marekani.

Alamsiki.

Hiv honda cars unaziweka kundi gan hapo?
 
Namaanisha kutafuta fault ya gari electronically na kujua genuine fault maana 90 percent ya Mafundi wana bahatisha na ngumu ku service gari . We ni Fundi mkuu ? Electronically maana yake unatumia computer kujua tatizo na nahsi hiyo yako hawezi kuwa kama hiyo si I pad ulobandika hapo as far as kifaa hicho unanapima ni sawa
Utadiagnose electronically kama gari ni electeonically. Ila kama gari limejaa mifumo ambayo ni mechanical. Basi huwezi kupata hicho unachokitaka.

Mfano hiyo gari niliyopost hapo juu mpaka
engine coolant thermostat yake ni ya umeme. Hivyo vitu vingi ni rahisi kugundulika kwa Diagnosis.

Halafu unamiss point linapokuja suala la computer systems. Unataka mpaka uone laptop ndio ujue kwamba hiyo computer system?

Mimi nimediagnose hiyo audi na simu tu, Ingawa hiyo tablet ilikuwepo ila isingeweza kufanya ambacho ningefanya na simu

Mfano hii hapa chini ni screenshot inayoonesha vitu ninavyoweza kufanya kwenye mfumo wa engine ya Audi.

Screenshot_2021-08-21-13-25-10-896_com.us.thinkdiag.plus.jpg


Katafute ni Diagnostic tool zipi zinaweza kufanya Adaptation pamoja na ECU coding halafu angalia na bei zake halafu urudi hapa.
 
Back
Top Bottom