Gari za "nyonya mavi

Gari za "nyonya mavi

Habari zenu wana jf?. Naomba msaada WA anayejua Yale magari ya nyonya mavi Yako chini ya mamlaka Gani?, na je nikiyahitaji niende ofisi Gani?, na kama Kuna anaye jua bei ya kulipa gari ikija kunyonya uchafu nyumbani kwako ni kiasi Gani?
taja location yako, kwa dsm nenda pale sayansi knyama, bei 250,000 - 400,000 kutegemea umbali nafikiri
 
Habari zenu wana jf?. Naomba msaada WA anayejua Yale magari ya nyonya mavi Yako chini ya mamlaka Gani?, na je nikiyahitaji niende ofisi Gani?, na kama Kuna anaye jua bei ya kulipa gari ikija kunyonya uchafu nyumbani kwako ni kiasi Gani?
mkuu unatoa wapi nguvu ya kujaza choo...na njaa kali mtaani..anyway yale magari sasa hivi yanatumika na dawasa kusomba maji safi na salama😁
 
Habari zenu wana JF?.

Naomba msaada WA anayejua Yale magari ya nyonya mavi Yako chini ya mamlaka Gani?, na je nikiyahitaji niende ofisi Gani?, na kama Kuna anaye jua bei ya kulipa gari ikija kunyonya uchafu nyumbani kwako ni kiasi Gani?
Kama upo dar nenda kwenye ofisi za dawasa nao wanayo
 
mkuu unatoa wapi nguvu ya kujaza choo...na njaa kali mtaani..anyway yale magari sasa hivi yanatumika na dawasa kusomba maji safi na salama😁
😹😹😹 Nyie watu mtatuua mbavu zetu
 
utaratibu wa magari ya kuvuta vinyesi nafikiri uko chini ya ofisi za maji safi na taka kulingana na eneo ulipo
 
Back
Top Bottom