Poa mkuu kuna jamaa mmoja kaniambia Ana muuzia dem mmoja Gari kama uliyo sema maana jamaa kaagiza hii hapa Ila dem mwenyewe kamwambia adi mwezi wa pili ndio ata pata pesa jamaa kaniambia waliishi jirani huko makumbusho!Anayenunua mwanaume
Sent from my iPhone using JamiiForums