Ndama dume
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 858
- 1,488
Habari za jioni kama ambavyo kichwa cha habari hapo juu kinasomeka nahitaji gari ndogo ya kukodi naendesha mwenyewe gari iwe nzima na tair nzima maana ni kwa ajili ya masafa ya mikoani wewe mwenye gari unaona lipo tu halina matumizi sana na upo Iringa na unajuwa gari yako ipo vizuri kwa masafa karibu
Angalizo kwa gari hizi usinitafute landcruiser vx ,prado, BMW, na magari yote yenye kula wese sihitaji
Karibu PM tuyajenge
Angalizo kwa gari hizi usinitafute landcruiser vx ,prado, BMW, na magari yote yenye kula wese sihitaji
Karibu PM tuyajenge