Jamani tunaongelea magari?
Me nadhani kuna mambo muhimu zaidi kwa nchi hii na watu wake masikini kuliko aina ya gari linalotumiwa na rais.
Watanzania wangapi wanatumia magari ya kawaida na maisha yanaenda vizuri,hawafi wala kuugua mushindwa kutimiza majukumu yao,tena katika mzingira magumu kuliko ya rais?
Mimi naona tujadili masuala ya kimaendeleo kwa TZ,tuachane na MAGARI-Fikra za kifisadi (Material thing) badala ya wellfare ya waTZ maskini.
Me nadhani kuna mambo muhimu zaidi kwa nchi hii na watu wake masikini kuliko aina ya gari linalotumiwa na rais.
Watanzania wangapi wanatumia magari ya kawaida na maisha yanaenda vizuri,hawafi wala kuugua mushindwa kutimiza majukumu yao,tena katika mzingira magumu kuliko ya rais?
Mimi naona tujadili masuala ya kimaendeleo kwa TZ,tuachane na MAGARI-Fikra za kifisadi (Material thing) badala ya wellfare ya waTZ maskini.