Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,249
Niko na katibu wa wilaya ya mufindi hapa Ubena ndugu Mtaturu na hio gari tuko nayo na hakuna mapanga wala visu ila adabu tutawashikisha kwenye sanduku la kura
.endeleeni kuwadanganya wananchi wasioeneo la tukio but subirini saa10 tutaheshimiana tu na hii ni zaidi ya kalenga.mods naomba usichanganye hii post na nyingine maana tukiwaacha hawa wachaga pori watapotosha sana umma.Hapa chalinze hawatapata hata asilimia 10 kwa hio wanatafuta sababu.
Naona wewe ndiye mchaga pori.Nyumbani kwenu ni mlowo kwa wanyiha ambako siyo uchagani chama chako kilicho kutoa matongotongo na kukupa ujanja kabla ya kununuliwa na CCM ni CHADEMA.