Basi lenye viti 32 inauzwa milioni 16 na ipo ktk hali nzuri na mashine ipo bomba.Naiuza kwasababu sipo mwenyewe kuisimamia hivo ni nzuri kwa dalala au shule.Vipuli vinapatikana bila ya wasiwasi.
Mercedes benz,Engine 4lt Automatic lakini sijui imetembea kilomita ngapi naomba uwasiliane na Habibu 0717810318 kama utapenda kuiona ipo maeneo ya Magomeni.Tokea imeingia nchini ni mwaka sasa na inafanya kazi ya shule.
View attachment 49801View attachment 49802View attachment 49803View attachment 49804