Gari tipa tani 2.5 inauzwa

Gari tipa tani 2.5 inauzwa

Luushu

JF-Expert Member
Joined
Apr 8, 2012
Posts
890
Reaction score
537
Hii tipa iko kwenye hali nzuri kwa anaehitaji karibu piga Simu 0755250190 mimi sio Dalali hivyo atakaepiga Simu asiwe Dalali

1480295950349.jpg
1480295957805.jpg
1480295968855.jpg
 
Kuhusu bei ni vema muhitaji apige Simu atapata bei
 
Kwanini usiweke bei mpaka mtu anapiga awe anajua...
Au unaogopa wataponda bei
Hata nikiweka bei mwisho wa yote lazima Simu ipigwe,ila binadamu tumetofautiana wewe unataka bei wenzako wanapiga Simu na bei washajua na wengine wanahitaji kuliona gari mubashara
 
Hii itakua ndogo kama carry,maana tani 2.5 ni kadogo kwelikweli kwa kazi za kubebea mawe,mchanga,
uzuri wake hata kakikwama mnakabeba begani tu
 
Umemshauri vema sana lakini anaonekana si muuzaji.
Biashara ya ngalangala kama mnavyoliita inasonga nyie subirini bei online sii kila kinachowekwa hapa kitawekwa kwa mnavyotaka nyie

Hela vocha sina madalali utawajua tu
 
Kama wewe sio dalali kwanini usitaje bei hadharani? Hiyo tabia ya kutotaja bei ni moja wapo ya tabia kubwa za madalali.
 
Back
Top Bottom