Gari tipa tani 2.5 inauzwa

Gari tipa tani 2.5 inauzwa

Kwanini usiweke bei mpaka mtu anapiga awe anajua...
Au unaogopa wataponda bei
Kama huwez kuweka bei hapa bac tutolee hilo ngarangara hapa
Kwanini usiweke bei mpaka mtu anapiga awe anajua...
Au unaogopa wataponda bei
Kama wewe sio dalali kwanini usitaje bei hadharani? Hiyo tabia ya kutotaja bei ni moja wapo ya tabia kubwa za madalali.
Amesema bei yake ni milioni 99!
No ya muhusika pse


Mpaka hapa... kama watu wote wameshatia mashaka... mimi ni nani mpaka nipige simu???

Ngoja nitafute muuzaji wa kweli.
 
Tipa bado ipo leo wateja wawili wamekuja kuiona wameenda kujipanga

Mnao subiri bei hapa endeleeni kusubiri tu.
 
Tipa bado ipo leo wateja wawili wamekuja kuiona wameenda kujipanga

Mnao subiri bei hapa endeleeni kusubiri tu.
Sasa mkuu unakomoana na wateja wako? Wao wana kosa gani? Kuulizia bei? Unafikiri wana shida sana na hiyo tipper yako mpaka uwazodoe hivi? Kabla ya wewe kuitangaza hapa, walijua uwepo wa hiyo tipper?

Yaani Uswahili na biashara hasa hizi za mtandaoni ni sawa na maji na mafuta. Na Waswahili sisi bado tuna safari ndefu ajabu!
 
Sasa mkuu unakomoana na wateja wako? Wao wana kosa gani? Kuulizia bei? Unafikiri wana shida sana na hiyo tipper yako mpaka uwazodoe hivi? Kabla ya wewe kuitangaza hapa, walijua uwepo wa hiyo tipper?

Yaani Uswahili na biashara hasa hizi za mtandaoni ni sawa na maji na mafuta. Na Waswahili sisi bado tuna safari ndefu ajabu!
Ukianza mwanzo utaona nani mwenye shida mi sijaweka bei kwa maana yangu wewe kwako iwe kosa,mbona waliolisoma hili tangazo ni wengi tu wako kimya sasa hawa wachache wao ndio wanajua sana biashara ya mtandao ? Mi nashauri kama kama tangazo halina umuhimu kwako achana nalo
 
Ukianza mwanzo utaona nani mwenye shida mi sijaweka bei kwa maana yangu wewe kwako iwe kosa,mbona waliolisoma hili tangazo ni wengi tu wako kimya sasa hawa wachache wao ndio wanajua sana biashara ya mtandao ? Mi nashauri kama kama tangazo halina umuhimu kwako achana nalo

Kwa hiyo wenye shida ni hao prospective customers na siyo wewe unayeuza? This is Luushu's new model of business na napendekeza ianze kufundishwa katika vyuo mara moja.

Na maadam umeweka tangazo hapa kwenye public basi ni haki kwa wateja wako (watarajiwa) kuhoji na kuuliza maswali. Huwezi kuweka tangazo halafu tena uwaambie prospective customers eti waachane nalo. Liondoe basi kama halina sababu ya kuwepo. Mkanganyiko eeeh!?
 
Kwa hiyo wenye shida ni hao prospective customers na siyo wewe unayeuza? This is Luushu's new model of business na napendekeza ianze kufundishwa katika vyuo mara moja.

Na maadam umeweka tangazo hapa kwenye public basi ni haki kwa wateja wako (watarajiwa) kuhoji na kuuliza maswali. Huwezi kuweka tangazo halafu tena uwaambie prospective customers eti waachane nalo. Liondoe basi kama halina sababu ya kuwepo. Mkanganyiko eeeh!?
Soma kuanzia mwanzo nilisha jibu ,halafu Hiyo lugha uliyo changanya siijui haujanitukana kweli ?
 
Kuna mataepeli wengi wanatafuta namba za simu za watu kwakupitia kwenye matangazo kisha wanaanza kuwatumia msg ya umeshinda zawadi nk kumpigia mtu simu ni hatu ya mwisho kabisa Tangazo ukiliangali jamaa ajulikani yuko mkoa gani.
 
Kuna mataepeli wengi wanatafuta namba za simu za watu kwakupitia kwenye matangazo kisha wanaanza kuwatumia msg ya umeshinda zawadi nk kumpigia mtu simu ni hatu ya mwisho kabisa Tangazo ukiliangali jamaa ajulikani yuko mkoa gani.

Huyu tapeli, muogopeni kama ukoma
 
Tipa bado ipo leo wateja wawili wamekuja kuiona wameenda kujipanga

Mnao subiri bei hapa endeleeni kusubiri tu.

Hao wamekuaga kiutu uzima mkuu wakimaanisha bei yako haiendani na gari husika
 
bado kuna kitu sielewi ...unauza kitu chako mtandaoni bei unaficha kwanini? bei ni kitu kimoja wapo katika vitu vingi ambacho mteja anaangalia kwenye tangazo akiona anaweza ndio anapiga simu kuhoji zaidi etc
 
Atakuwa dalali tu alafu hilo gari si ajabu hana info za kutosha kuhusu gari hilo
We mtu unasema sitaki dalali asistí biashara zinaendana na connection

OVA
bado kuna kitu sielewi ...unauza kitu chako mtandaoni bei unaficha kwanini? bei ni kitu kimoja wapo katika vitu vingi ambacho mteja anaangalia kwenye tangazo akiona anaweza ndio anapiga simu kuhoji zaidi etc
 
muuzaji jeuri hatari kakutana na wanunuzi jeuri sijui nani ataumia kwenye hii ligi nashauri muuzaji usiliuze kama vp uwakomoe wanunuzi
 
Back
Top Bottom