Gari mil. 3.9 namba c

Gari mil. 3.9 namba c

mkuu..hujatoa last offer ni bei gan?au ndo hakuna discount?
Yaani nimeweka engine mpya 2months ago kabla sijapata gari nyingine, kushuka zaidi ya hapo ni bora niendelee kuitumia mwenyewe
 
ukifatilia maisha halisi ya walio toa kejeli unaweza cheka upasuke

NB: mmoja wao namfahamu na khali yake ya maisha naifahamu ila tambo zake hahahahhahahah!
Yani mkuu umesema ukweli kabisa kuna watu hapa kejeli nyingi unaweza fikiri wana kula bata kumbe viatu vimeisha


Lakini mkuu ni kweli kuna mmoja unamfahamu teh teh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom