Ama kweli aliye nacho anaongezewa ,hapo ingekuwa mwenzangu na miye kwenye ki 4th hand gx 100 wale jamaa wa faini za 60,000 wasingekuacha lakini angalia gari la waziri hapo
Polisi nao hawapo nyuma. Kutoka pale NBC kuelekea, saint Joseph, DMI hadi central police huwa HUKU DAR wakwendaga opposite direction mara nyingi sana..