Gari la waziri likivunja sheria barabarani

ZE NDINDINDI

JF-Expert Member
Sep 19, 2016
1,885
4,009
Ama kweli aliye nacho anaongezewa ,hapo ingekuwa mwenzangu na miye kwenye ki 4th hand gx 100 wale jamaa wa faini za 60,000 wasingekuacha lakini angalia gari la waziri hapo
 
Polisi nao hawapo nyuma. Kutoka pale NBC kuelekea, saint Joseph, DMI hadi central police huwa HUKU DAR wakwendaga opposite direction mara nyingi sana..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom