Kwani polisi sio watu banaaa? Nao wana haki ya kukata kiu pale panapostahili, pia hiyo kazi ya kubeba makreti ni mojawapo wa matumizi ya pick-up vehicles!
Pia inawezekana hizo crates ni evidence zinahamishiwa kituo husika, you never know, sasa kwanini utoke povu mkuu?