Gari la Polisi na kreti za bia

Gari la Polisi na kreti za bia

Mpita Njia

Platinum Member
Joined
Mar 3, 2008
Posts
6,999
Reaction score
1,189
Nilikutana nao Ijumaa likitokea pande za Tegeta, nilifuatrana nalo nikiwa nyuma yake mpaka Ubungo mataa
Police.jpg
 
Ni kawaida sana kuna "ration" za vinywaji na vyakula kwa majeshi yetu ya ulinzi na usalama...(Viongozi wa wilaya na mkoani) na kanali kwenda juu kwa jeshi!!
 
hata wao wana kiu jamani....hasa matrafiki jua lote barararani.....makoromeo yanakauka ujue.....
pateni tusker mapolisi.....mtu asiwazengue......alaaaaa....
 
Kwahiyo bia za polish meshi tuzibebe kwakichwa wakati nyinyi recitizen mnakuja kunywa kwa 1300/ mnategemea nini??
 
Ninavyojua majeshi yote yana kantini zao ambazo huwa kuna vinywaji mbalimbali kwa bei nafuu na wana magari,labda mleta mada ashauri njia nyingine ya usafiri ya kuleta vinywaji kambini.
 
Ninavyojua majeshi yote yana kantini zao ambazo huwa kuna vinywaji mbalimbali kwa bei nafuu na wana magari,labda mleta mada ashauri njia nyingine ya usafiri ya kuleta vinywaji kambini.
Kwenye baa nyingineza kawaida makampuni ya bia husambaza vinywaji kwa kutumia magari yao. Kwa nini hawawapelekei na polisi kwenye kantini zao?
 
JF inanifurahisha, haionei mtu pale kwenye ukweli unaungwa mkono penye uwongo unapewa vidonge-raha iliyoje!!!
 
Hebu tujiulize jamani to be sincere hii inaleta picha gani mbele ya jamii ya WaTZ kuona gari la doria la polisi likiwa limebeba Bia au Vilevi? Whats implication? Ingekuwa bia ni mojawapo ya products za Jeshi la polisi isingekuwa tatizo kwani lingeonekana lipo kazini ila hapa Polisi wanajitanabaisha kama CHA POMBE.
 
ndio maana wanasubiri watu wajisalimishe makanisani badala ya kufanya uchunguzi.



KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
hata wao wana kiu jamani....hasa matrafiki jua lote barararani.....makoromeo yanakauka ujue.....
pateni tusker mapolisi.....mtu asiwazengue......alaaaaa....
hahahahaaa!!!! Chezeya koromeo kukauka wewe, halafu lipatemo taska bardiiiii!!!

Alaaaa!
 
Kwenye baa nyingineza kawaida makampuni ya bia husambaza vinywaji kwa kutumia magari yao. Kwa nini hawawapelekei na polisi kwenye kantini zao?

Bado sijaona ubaya wa polisi kufuata bia zao,inategemeana na makubaliano yao
 
Hebu tujiulize jamani to
be sincere hii inaleta picha gani mbele ya jamii ya WaTZ kuona gari la
doria la polisi likiwa limebeba Bia au Vilevi? Whats implication?
Ingekuwa bia ni mojawapo ya products za Jeshi la polisi isingekuwa
tatizo kwani lingeonekana lipo kazini ila hapa Polisi wanajitanabaisha
kama CHA POMBE.

Hizo ni bia zao za motisha dogo! Usitokwe povu bure!
 
Hebu tujiulize jamani to be sincere hii inaleta picha gani mbele ya jamii ya WaTZ kuona gari la doria la polisi likiwa limebeba Bia au Vilevi? Whats implication? Ingekuwa bia ni mojawapo ya products za Jeshi la polisi isingekuwa tatizo kwani lingeonekana lipo kazini ila hapa Polisi wanajitanabaisha kama CHA POMBE.

MDAU, majeshi yote katika kambi zao huwa kuna bwalo/canteen, na huwa kuna vinywaji vinauzwa.
Huwa hizo bia na soda wanaendaga kuchukua wenyewe kwa gari zao wenyewe.
Usitoke pove kuona gari ya polisi imebeba pombe.
FYI.hizi bia huuzwa bila ya kodi,,,kama sijakosea bia moja ni shilingi 1100-1300.
Wakati bei halisi ni sh 1800-2000 kwa rejareja.
 
Wametoka kufuata mgao wao,,there's no way watazisafirisha kwa magari ya kukodi ilihali serikali imewapa cruisers hizo
 
Angalia kijana kumbe ndio wewe uliokuwa unatufata kwa nyuma,tushazichukua namba zako!
 
Back
Top Bottom