Nami nimewaza kama wewe Gembe,iweje huyu jamaa atenganishwe kichwa chake na kiwiliwili,alafu mazingira aliyookotwa ni njia panda ili wapita njia wamwone watoe taarifa kituo cha polisi.
Hawa mabedui walipanga kabisa kumwondoa roho na ili wasifuatiliwe kwa karibu kabla ya kutimiza azima yao wakawa wametuma SMS kwa mamsapu ili ajue tu jamaa katumwa na mheshimiwa.Tibagaina tupe ripoti na hao wauaji watiwe nguvuni haraka.