miagie
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 215
- 76
Poleni kwa shughuli za kujenga Taifa wana jamvi.
Nipo Arusha nahitaji gari la kukodisha kwa siku moja(jumamosi jioni hadi jumapili mchana 17-18 may 2014)
kama unatoa huduma hii au unaweza nisaidia kwa information yoyote naomba nitafute PM au weka hapa jamvini.
naomba kupewa vigezo na masharti ya kupewa huduma hii....
ahasante.
Nipo Arusha nahitaji gari la kukodisha kwa siku moja(jumamosi jioni hadi jumapili mchana 17-18 may 2014)
kama unatoa huduma hii au unaweza nisaidia kwa information yoyote naomba nitafute PM au weka hapa jamvini.
naomba kupewa vigezo na masharti ya kupewa huduma hii....
ahasante.