Gari la Kaka linanipa Wanawake wengi

anobreezy

Member
Joined
Oct 9, 2018
Posts
80
Reaction score
67
Mabaharia wenzangu, acheni tu wanawake kwa gari sijui wamebatizwa kwa petroli au dizeli.

Kaka kaniachia gari lake, yeye yupo nje kikazi toka mwezi wa tatu mpaka sasa navyoandika ujumbe huu.

Cha ajabu wanawake hawachomoi, sio wake za watu wala wanachuo. Haaaa noma sana mi nahisi nyoka na Eva kuna kitu waliongea kuhusu gari au mtalam Zero IQ unasemaje.
 

Hicho ndio kisu cha warembo....hachomoki.
 
Uo ni ujinga unaou uongea bila aibu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…