Teh, teh, teh. No commentMakamba atuambie Biblia inasemaje kwenye tukio kama hili
Nitafurahi kusikia kua hajapona mtu kwenye hiyo gari
kama kuna majeruhi basi Mungu awanusuru na kifo na awape huruma yake, kwani si kila baya litalipwa kwa baya.
Mnakumbuka Mungu alimruhusu mtumishi wake mmoja aoe kahaba ili kudhihirisha machukizo aliyofanyiwa na wana wa israel?
Taarifa kutoka ofisi ya CCM mkoa wa Dar es Salaam zinaonyesha kwamba gari mpya kabisa aina ya land cruiser ya CCM mkoa wa dsm imepata ajali na kupinduka na kuwa write off wakati ikiwa safarini kumpeleka mke wa Yusuph Makamba - katibu mkuu wa CCM mkoani Tanga kwenye mapumziko ya mwisho wa mwaka.
Inadaiwa kuwa Makamba alichukua gari hilo la CCM mkoa kibabe kwa kutumia cheo chake. Kama angefuata utaratibu CCM makao makuu inayo magari mengi ambayo yangefaa kwa shughuli hiyo, badala ya kujichukulia gari la mkoa ambalo sasa limepata ajali na kuharibika kabisa.
naomba kuwasilisha
Nundu yake usoni itaongezeka kidogo. Wazee, si mnajua ile nundu ipo kwa ajili gani?