relis
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 3,332
- 5,212
Habari!
Msaada kwa mwenye ujuzi/uzoefu gari yangu Premio e ina engen aina ya 7a_fe,cc 1800 kinachonitatiza ikitokea nikanyaga mafuta mengi mpaka rpm ikafika kwenye nne engen hunguruma sana na sauti kama mruzi na mlio wake huusikia mpaka ndani ya gari, lakini ni nikisikiliza gari nyingine zenye ukubwa wa aina hiyo ya cc1800 kwa ukanyaji huo sioni hicho kitu na engen zao huwa kimya eg.VVTI engen msaada.
Msaada kwa mwenye ujuzi/uzoefu gari yangu Premio e ina engen aina ya 7a_fe,cc 1800 kinachonitatiza ikitokea nikanyaga mafuta mengi mpaka rpm ikafika kwenye nne engen hunguruma sana na sauti kama mruzi na mlio wake huusikia mpaka ndani ya gari, lakini ni nikisikiliza gari nyingine zenye ukubwa wa aina hiyo ya cc1800 kwa ukanyaji huo sioni hicho kitu na engen zao huwa kimya eg.VVTI engen msaada.