Chamoto
JF-Expert Member
- Dec 7, 2007
- 8,336
- 17,555
Inabidi utafute fundi aifumue injini aangalie kama hedi ipo/zipo flat kulingana na vipimo vilivyowekwa na waundaji (manufacturer).Mkuu kuhusu hedi mpk kutoa moshi ndio exactly nilioexpirians hadi leo najaza maji tu na kuchapa mwendo naomba unielewshe solution ipoje na garama kwa makisio bcs sina uelewa kuhusu magari . Nitashkuru sm ukinijibu.
La sivyo itabidi utumie gharama zaidi kuirudisha hedi kwenye ubora wake wa mwanzo. Gharama yake kwakweli sifahamu kwa kuwa nipo nje ya nchi.