buzitata
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 1,997
- 7,068
Jarib kutumia pure water hayo ya uhai ukiangalia pale kwenye PH utagundua kuwa sio pure water coz mengi yanazid 7.1 au below 6.9......
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water