Naomba kujua sababu ya gari kuchemsha (overheat)

Jarib kutumia pure water hayo ya uhai ukiangalia pale kwenye PH utagundua kuwa sio pure water coz mengi yanazid 7.1 au below 6.9......
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water
 
Jarib kutumia pure water hayo ya uhai ukiangalia pale kwenye PH utagundua kuwa sio pure water coz mengi yanazid 7.1 au below 6.9......
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water
Nashukuru kwa elimu,licha ya kuganya service ya mara kwa mara,ya kumwaga oili,sevisi ya injini hutakiwa kufanyika kila baaada ya mda gani? Huu ni mwaka wa pili tangu niinunue show room,
 
Engine kuchemsha inainyesha kuwa cooling system imekufa.

(1) Ama injini inavuja maji.
(2) Water pump inayosukuma maji imekufa
(3) Ama radiator imeziba kwa kuzuia maji ya kupooza injini yasizunguke.
(3).................. nitanedelea; mgoja sasa nikakojoe halafu nikalale!
 
Nashukuru kwa elimu,licha ya kuganya service ya mara kwa mara,ya kumwaga oili,sevisi ya injini hutakiwa kufanyika kila baaada ya mda gani? Huu ni mwaka wa pili tangu niinunue show room,
Muda wa kufanya service inategemea na matumiz yako.

Kwa mfano service ya daladala ni tofauti na service ya coster inayoshinda bila kufanya kazi

Ukiangalia vizuri kwenye manual ya chombo chako kuna masaa ambayo wamekuwekea ya kufanya hiyo service
 
Mkuu kuna sababu nyingi zinazosababisha
injini ya gari kuchemsha.Mojawapo ni radiator/rejeta kama
unatumia maji ya uswahilini badala ya coolant huwa zinajaa kutu
kama matope na hivyo njia za maji kuziba.Pia kuna feni
inayopoza maji kwenye radiator kama haifanyi kazi
ni sababu. Pia kama injini yako imefanyiwa overhaul
na fundi akakosea kuset timing belt hii nayo ni sababu.

Pia kuna thermalstart ambazo hutumika
kuzuia maji kuzunguka kwenye injini mpaka
joto linalotakiwa kwenye injini lifikie,
hizi kuna kipindi zinakufa na kushindwa
kufungua hata joto la injini likifikia.
hizi mara nyingi mafundi wetu huzitoa
ili kuondoa tatizo hilo,check kama gari yako inayo.

Kuna kitu kingine rahisi ambacho wewe mwenyewe
unaweza kuangalia ni mfuniko wa radiator,kama rubber
yake imechoka huwa inapitisha maji kabla pressure
haijafikia kiwango cha kufungua mfuniko kwenda
kweny expansion tank na hivyo kusababisha maji
kuisha kwenye radiator.
Naamini na wengine wataongezea.
Mkuu umeongea vyema ila kuna coolant temperature sensor ni muhim sana kwny coolin system ya gar ipo karibia na thermalstart inafanya kaz ya kupima joto la maji pind joto likiwa juu sana inaamuru fen kuzunguka na maji lupoozwa lkn pia nanuwezo wa rejetor kutunza maji kama imetoboka au mfuniko mbovu inaweza changia
 
Majibu yote hapo juu ni sahihi ila nitaongezea moja, ambalo ni kuwa na 'warped cylinder head'.

Hapo chini nimeambatanisha mchoro wa 'engine' iliyoharibika (warped cylinder head) kutokana na kuchemka (overheating).

Warped_Cylinder_Engine.jpg


Hili hutokea pale ambapo gari imekuwa ikichemka kwa muda mrefu sana (kutokana na sababu zilizotajwa na wenzanu hapo awali) na kusababisha 'cylinder head' kupinda. Matokeo yake maji (coolant) kuingia kwenye chemba na kuunguzwa na kusababisha mvuke mweupe.

kama kila ukiongeza maji kwenye 'cooling system' (radiator or expansion tank) na maji kupotea 'kimazingara' bila ya kujua yanapokwenda basi cylinder head imepinda. Na kadri 'engine' inapozunguka ndipo maji yanapojipenyeza kwenye chema na kuunguzwa. Hii hufanya engine kuzidi kuchemka, kwa kukosa maji ya kuipoza.

Tatizo hili unabidi ulitatue haraka (by removing and resurfacing heads) kwasababu siku moja gari itashindwa kuwaka kabisa kutokana na kupoteza 'compression'.

Hii chini ni 'cylinder head' niliyoitoa kwenye gari iliyokuwa ikichemka, nikiipina kwa kutumia rula (straight edge) kuangalia jinsi ilivyopinda . Utaona kichuma (feeler gauge) kikipenya chini ya rula kuonesha kuwa hii 'cylinder head' imepinda sana.

Warped_Cylinder_Head.jpg


.
Huu ni mchoro wa 'Engine' ambayo haina matatizo ya kuchemsha.

Unwarped_Cylinder_Engine.jpg


Na hii ndiyo 'cylinder head' nzuri utaona kachuma (feeler gauge) hakawezi penya katikati ya 'cylinder head' na rula (straight edge).

Unwarped_Cylinder_Head.jpg
 
Nimerudi tena inaitwa "timing light" siyo "timing torch",
mafundi wengi mtaani wanapofanya engine overhaul
hawatumii hiki kifaa na hivyo mara nyingi wanasababisha
matatizo.Kuna kitu kinaitwa "timing angle" bila hiki kifaa
uwezekano wa kupatia ni mdogo sana.
Mkuu mimi gari yangu inatabia ya kujizima kwenye foleni,au ikiwa silencer,nimejaribu kupandisha silnce lkn bado tatizo lipo?service naw kila kitu kipo vizuri,tatizo nini?
 
Topic nzuri sana hii kwa sababu inasaidia wengi wetu kuwa na uelewa wa magari, hasa kwa wale wenye nayo au wenye ndoto ya kumiiki gari. Wataalamu shusheni nondo za uhakika tufaidike na elimu yenu murua.
 
Kutu kwenye radiator inaondolewa kwa kuwapelekea
mafundi wa radiator ili waisafishe.Lakini kama injini imefanyiwa overhaul
mwone fundi wako aangalie upya timing,kama alitega vibaya
lazima itasumbua kwa kuchemsha.Kuna kifaa kinatumika
kupima usahihi wa timing kama sikosei ni "timing torch" ngoja nitafute nitarudi.
Ok Poa Mkuu ngoja nimcheki
 
Nimerudi tena inaitwa "timing light" siyo "timing torch",
mafundi wengi mtaani wanapofanya engine overhaul
hawatumii hiki kifaa na hivyo mara nyingi wanasababisha
matatizo.Kuna kitu kinaitwa "timing angle" bila hiki kifaa
uwezekano wa kupatia ni mdogo sana.
Ok
 
Mkuu kuna sababu nyingi zinazosababisha
injini ya gari kuchemsha.Mojawapo ni radiator/rejeta kama
unatumia maji ya uswahilini badala ya coolant huwa zinajaa kutu
kama matope na hivyo njia za maji kuziba.Pia kuna feni
inayopoza maji kwenye radiator kama haifanyi kazi
ni sababu. Pia kama injini yako imefanyiwa overhaul
na fundi akakosea kuset timing belt hii nayo ni sababu.

Pia kuna thermalstart ambazo hutumika
kuzuia maji kuzunguka kwenye injini mpaka
joto linalotakiwa kwenye injini lifikie,
hizi kuna kipindi zinakufa na kushindwa
kufungua hata joto la injini likifikia.
hizi mara nyingi mafundi wetu huzitoa
ili kuondoa tatizo hilo,check kama gari yako inayo.

Kuna kitu kingine rahisi ambacho wewe mwenyewe
unaweza kuangalia ni mfuniko wa radiator,kama rubber
yake imechoka huwa inapitisha maji kabla pressure
haijafikia kiwango cha kufungua mfuniko kwenda
kweny expansion tank na hivyo kusababisha maji
kuisha kwenye radiator.
Naamini na wengine wataongezea.
Imejitoshereza kabisa
 
Jarib kutumia pure water hayo ya uhai ukiangalia pale kwenye PH utagundua kuwa sio pure water coz mengi yanazid 7.1 au below 6.9......
Pure water ni kama yale maji ya AC zile za maofisini au majumbani au unaweza kutumia maji ya kilimanjaro kwasababu yenyewe ni pure water
Hata pure water si sahihi kutumia kama coolarnt kwa sababu maji hata kama ni pure ni lazima yatasababisa kutu kwenye radiator na more kule yanakopita. Coolant ilivyotengenezwa haiwezi kusababisha kutu.
 
Hata pure water si sahihi kutumia kama coolarnt kwa sababu maji hata kama ni pure ni lazima yatasababisa kutu kwenye radiator na more kule yanakopita. Coolant ilivyotengenezwa haiwezi kusababisha kutu.
Ninaongea by experience mimi ni marine engineer katika cooling tunatumia sea water na fresh water

Iv unaijua sea water katika corrosio?

Watu wa magar wanatakiwa wabadilike kunakitu kinaitwa cathodic protection hutumika kwaajili ya kuzuia kutu hata kama chuma kimezamishwa kwenye acid hakiwezi kupata kutu

Kwa ufupi pitia electrochemical serie ndo utajua namna ambavyo maji yanaweza kutumika as coolant bila matatizo
 
Yap kunaweza kusababisha engine kuchemsha

Ngoja nikupe elimu kidogo

Maji hayapoozi engine moja kwa moja ila yanapooza kama ifuatavyo:-

Oil inakazi tatu nazo ni
1.kuleta mlainisho wa vyuma
2.kusafisha engine
3.kupooza engine

Hapo kwenye kupooza engine ipo ivi:-

Oil inapozunguka kwenye engine inakutana na joto na ukisoma theory ya tempature inasema iv:-
Joto husafiri kutoka sehem yenye joto kubwa kuelekea kwenye sehem au chombo chenye joto dogo(heat transfer)

Kwaiyo oil inagain heat kutoka kwenye engine

Oil hiyo hupoozwa na maji au coolant hali ambayo hupelekea kupungua kwa joto la engine kwasababu oil huingia katika engine ikiwa na joto kidogo na hutoka na joto jingi kitendo ambacho tunaweza kusema oil husafirisha joto kutoka kwenye engine.

Kwaiyo oil hiyo isipopoozwa vizuri jawabu lake ni engine kutopoozwa vizuri jambo ambalo hupelekea engine kupatwa na joto losilo la kawaida

Note. Maji hayaiingii kwenye engine moja kwa moja kwasababu ya tabia yake ya kuweza kusababisha kutu(corrosion) hivyo oil hutumika kama chambo tu


Kama hujaelewa uliza kipengele ambacho unahitaj maelezo zaid ili nikupatie
Kwa swali lake hilo hapaswi hata kuwa na gari! Au awe anaendeshwa!
 
Hata pure water si sahihi kutumia kama coolarnt kwa sababu maji hata kama ni pure ni lazima yatasababisa kutu kwenye radiator na more kule yanakopita. Coolant ilivyotengenezwa haiwezi kusababisha kutu.
.
Pia coolant inafanya kazi kama 'solvent' kumeza 'deposits' kwenye 'cooling system'. Systems nyingi za kisasa zina 'temperature sensors' kwenye radiator ku - monitor temperature ya coolant. Kama kuna deposits kwenye sensors basi readings zinazo kwenda kwenye computer zinaweza zisiwe sahihi na kufanya feni za kupozea zisiwake kwa muda muafaka na kusababisha overheating (hasa unapokuwa kwenye foleni).

Vile vile kutokana na coolant kuwa na higher boiling point than water, inasaidia kuendela kupoza engine (heat transfer) bila tatizo hata kama joto la engine litafika 100°C. Maji yakifikia kwenye anga za 100°C yanaanza kutengeneza bubbles (za hapa na pale, unless ni pressurized system) na hii inazuia uwezo wake wa kupoza vizuri na kusababisha overheating.
 
Back
Top Bottom