Gari inauzwa

fundi-eric

New Member
Joined
Oct 17, 2011
Posts
4
Reaction score
0
Jamani wana jf, kuna gari inauzwa.its in perfect condition ni aina ya cresta gx 100. inaendeshwa na mdada si unajua wanavyojali vyombo vyao...na namba plate ni BT something. Interested piga namba 0774303884 au kabla ya saa kumi na mbili na nusu jioni.πŸ˜›hoto:!!
 
Lipo mkoa gani?
Maana kuna mdada amehongwa na jamaa yangu na kuna tetesi anataka kulipiga mnada wakati kadi jamaa ndio anayo.
 
Lipo mkoa gani?
Maana kuna mdada amehongwa na jamaa yangu na kuna tetesi anataka kulipiga mnada wakati kadi jamaa ndio anayo.

Nilikuwa sina appetite ya lunch, kwa kicheko hiki nimepata hamu ya kula. Asante sana.
 
Wnajua 'kutunza ''vyombo vyao'' tu!!
Magari hawajui hawa......waharibifu sana!!!
 

Fundi umejuaje apo kwenye nyekundu!?..na hiyo Avatar yako?
 

Ungeweka na picha ya gari lenyewe.
Wadada siku hizi wanasifika kugonga gonga magari mara utaona nyuma limepigwa puti au mbele hawapo makini sana
 
Hilo gari ni la metallic silver, aina ya exceed and its really oerfect. Nitaipost kesho leo nimeshindwa mizunguko na mambo mengi. its 10 m ila negotiable. same contact incase of queries.
 
Weka picha ya mdada anayeliendesha. tetetetetheheeee Im kiddin'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…