Gari inauzwa toyota spacio new model (2002)

Gari inauzwa toyota spacio new model (2002)

Nimekuelewa mkubwa, lakini kwa sasa acha hivyo hivyo ilivyo. Mwenye nia ya kununua atapiga simu na ataelekezwa, afu kumbuka kuwa gari sio bei tu, ni vitu vingi. Mnunuzi atapiga simu kupata bei na maelezo mengine anayohitaji kujua kuhusu gari hilo linalouzwa.
Nakusifu kwa kuzidi kuwa na msimamo wako wa kutokuweka bei ingwaje mi binafsi napenda uweke bei but kuendelea kuwa MSIMAMO wako pia ni mzuri coz una sababu zako binafsi za kutokuweka bei..!
 
Mkuu wala sifikili kashindwa kufanya biashara - kuna kitu akija kaa sawa hapa kwa mfano: Angalia kwenye mtandao, kitu wanacho onyesha kwanza ni picha za mbele na nyuma ya gari, alafu ndio unaonyeshwa ndani - sasa ukiangalia kwa umakini hapa utaona sehemu hizo ziko conveniently hidden WHY? Haijasajilwa au nini....!!!!

Kaka, ukitaka picha zaidi naweza kukutumia... Gari imesajiliwa kwa namba zinazoishia na CBN, ipo katika hali nzuri zaidi na kama upo Dar, njoo uione ntakulipia nauli ya kutoka kwenu na kurudi.

Tatizo la JF kila mtu ni mwanasiasa, kitu kidogo ubishi mwingi. Gari lipo, ni sawa na jipya na nawahakikishieni, mnunuzi wa hilo gari hatajuta.
 
Wanunuzi wa kweli, msibabaishwe na maneno kama haya. Gari ipo katika hali nzuri kabisa, imeagizwa toka Japan na imeshasajiliwa. Ni safi haina hata chembe ya vumbi kwa ndani, bado haijakutana na mafundi wa bongo wachakachuaji.

Kwa kuwa tu unauza gari lako, unaamua kuwafanyia wengine fitna; kwanini nisiamini wewe ndio mchakachuaji, matapeli utawatambua tu.....!!!!, wewe ongelea biashara yako acha kuwafanyia wengine fitna katika kazi zao.
 
Kwa kuwa tu unauza gari lako, unaamua kuwafanyia wengine fitna; kwanini nisiamini wewe ndio mchakachuaji, matapeli utawatambua tu.....!!!!, wewe ongelea biashara yako acha kuwafanyia wengine fitna katika kazi zao.

Sijataja jina la fundi yeyote, lakini ni ukweli usiofichika kuwa kuna mafundi wabongo wachakachuaji. Kama unabisha, endelea na ubishi wako ila ipo siku yatakukuta.
 
Kaka, ukitaka picha zaidi naweza kukutumia... Gari imesajiliwa kwa namba zinazoishia na CBN, ipo katika hali nzuri zaidi na kama upo Dar, njoo uione ntakulipia nauli ya kutoka kwenu na kurudi.

Tatizo la JF kila mtu ni mwanasiasa, kitu kidogo ubishi mwingi. Gari lipo, ni sawa na jipya na nawahakikishieni, mnunuzi wa hilo gari hatajuta.

Mkuu siyo kwamba nakuona tapeli au nini, ninacho sema it pays to be transparent - watu wanaweza kukufikilia mambo mengi; you can't blame 'em - CAN U?

Kitu kingine mimi mwenyewe niliagiza gari kutoka Japan mwaka jana kwa ajili ya matumizi yangu kwa kupitia mtandaoni, sikupata tatizo lolote, walinifahamisha siku gari linasafirishwa kutoka Japan, meli husika, Kapteni wake Estimated Time of arrival, bill of laden inatumwa mapema zaidi ili ukamilishe mambo mapema. Ninacho taka kusema hapa ni kwamba hawafichi kitu chochote, sasa ndugu yangu kwa nini unaonekana hauko muwazi sana. Mimi nakupa ushauri.
 
Mkuu siyo kwamba nakuona tapeli au nini, ninacho sema it pays to be transparent - watu wanaweza kukufikilia mambo mengi; you can't blame 'em - CAN U?

Kitu kingine mimi mwenyewe niliagiza gari kutoka Japan mwaka jana kwa ajili ya matumizi yangu kwa kupitia mtandaoni, sikupata tatizo lolote, walinifahamisha siku gari linasafirishwa kutoka Japan, meli husika, Kapteni wake Estimated Time of arrival, bill of laden inatumwa mapema zaidi ili ukamilishe mambo mapema. Ninacho taka kusema hapa ni kwamba hawafichi kitu chochote, sasa ndugu yangu kwa nini unaonekana hauko muwazi sana. Mimi nakupa ushauri.

Kaka, siwezi kuweka information zote, zingine ni special kwa wanunuzi... Gari halipo mbali, kama unahitaji nitafute unaliona, unaambiwa bei na kama una pungufu unaongea, hiyo ndio biashara. Hata kwenye mtandao unapoagiza gari sio mara zote bei inakua wazi, wakati mwingine inafichwa ili uwasiliane na muuzaji moja kwa moja. Sioni tatizo katika hilo, na wanunuzi wa kweli wanaendelea kupiga simu kuulizia mambo mbali mbali kuhusu hilo gari pamoja na bei yake.
 
Kaka, siwezi kuweka information zote, zingine ni special kwa wanunuzi... Gari halipo mbali, kama unahitaji nitafute unaliona, unaambiwa bei na kama una pungufu unaongea, hiyo ndio biashara. Hata kwenye mtandao unapoagiza gari sio mara zote bei inakua wazi, wakati mwingine inafichwa ili uwasiliane na muuzaji moja kwa moja. Sioni tatizo katika hilo, na wanunuzi wa kweli wanaendelea kupiga simu kuulizia mambo mbali mbali kuhusu hilo gari pamoja na bei yake.

Sawa nimekuelewa, CHEERS.
 
Jamani hiki chombo bado kipo dukani, kwa muhitaji asiyependa kuhangaika anakaribishwa...!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom