Gari inauzwa: 6 million Prado Landcruiser II (AEV)

Gari inauzwa: 6 million Prado Landcruiser II (AEV)

Solangefoley

Member
Joined
Nov 12, 2012
Posts
28
Reaction score
2
- automatic gear
- Diesel engine
- Angalua picha

Maelezo na maelewano ImageUploadedByJamiiForums1412326707.337838.jpgzaidi 0768 789 214ImageUploadedByJamiiForums1412326618.525633.jpgImageUploadedByJamiiForums1412326652.449427.jpg

Inahitaji engine mpya...kila kitu kingine kiko sawa !!!!
 
Inatembea, au ni grounded. Funguka zaidi vitu kama imekwisha tembea km ngapi nk.
 
Model ya mwaka gani? Prado five doors mil 6? Hapo noli lazima utumie over 10m matengenezo. Kwa mwonekano tu.
 
Kheee...prado 6m? Ndo mwanzo wa kujuliana na mqfundi woooteee wa magari
 
Mkuu ebu toa details zaidi, kama mwaka wa kutengenezwa, hali halisi ya gari vitu kama leakage kwenye engine, me nahitaji kweli hiyo gari ajili ya kazi za porini. Au kama una Landrover 110 or 109 or deffender zilizo katika hali nzuri na iwe ya diesel. Sema tufanye biashara.
 
Ukisikia gari inauzwa kwa bei usiyoitarajia haina maana kuwa ni mbovu au ni mkweche la hasha. Mwenye mali anaamua kuiuza na kwamba kuiuza kwake hakumpi hasara yoyote hata akiuza kwa bei tofauti na ya magari. Kwahiyo fikeni, pigeni simu, kwa maelezo ya kujua nini au kwa nini milioni 6 ndinga kama hiyo iliyotamba miaka ya 2004
 
Inawezekana kweli.
Hizi gari sio siri mie mwenye muundo,sura yake siipendi.Na ndio maana sio nyingi hata mitaani.Zimekaa kama vile za kishamba,na hata uipambe vipi ipo kama dagaa tonge.Dash board lake linachekesha kweli,utafikiria redio za mbao za zamani yaani limepooza.Aisee

Bei itakuwa sawa.
 
Mkuu ebu toa details zaidi, kama mwaka wa kutengenezwa, hali halisi ya gari vitu kama leakage kwenye engine, me nahitaji kweli hiyo gari ajili ya kazi za porini. Au kama una Landrover 110 or 109 or deffender zilizo katika hali nzuri na iwe ya diesel. Sema tufanye biashara.

Piga simu...nikupe gari ya porini !
 
Inawezekana kweli.
Hizi gari sio siri mie mwenye muundo,sura yake siipendi.Na ndio maana sio nyingi hata mitaani.Zimekaa kama vile za kishamba,na hata uipambe vipi ipo kama dagaa tonge.Dash board lake linachekesha kweli,utafikiria redio za mbao za zamani yaani limepooza.Aisee

Bei itakuwa sawa.

Hahaaaaaaaaaaa redio ya mbao lol
 
Mkuu ebu toa details zaidi, kama mwaka wa kutengenezwa, hali halisi ya gari vitu kama leakage kwenye engine, me nahitaji kweli hiyo gari ajili ya kazi za porini. Au kama una Landrover 110 or 109 or deffender zilizo katika hali nzuri na iwe ya diesel. Sema tufanye biashara.

Nina Nissan Patrol inatembea na iko katika hali nzuri. Bei milioni 11. Ni manual na nzuri kwa kazi za poli. Tuwasiliane kwa 0657621427
 

Attachments

  • 1412399913716.jpg
    1412399913716.jpg
    66.6 KB · Views: 358
Nina Nissan Patrol inatembea na iko katika hali nzuri. Bei milioni 11. Ni manual na nzuri kwa kazi za poli. Tuwasiliane kwa 0657621427

We upo wapi,kuna mtu humu alikuwa anaitaka,soma uzi umtafute nimemsahau jina
 
Ukisikia gari inauzwa kwa bei usiyoitarajia haina maana kuwa ni mbovu au ni mkweche la hasha. Mwenye mali anaamua kuiuza na kwamba kuiuza kwake hakumpi hasara yoyote hata akiuza kwa bei tofauti na ya magari. Kwahiyo fikeni, pigeni simu, kwa maelezo ya kujua nini au kwa nini milioni 6 ndinga kama hiyo iliyotamba miaka ya 2004
Mmmh 2004????? Hii kitu umekosea hii mikitu ilitamba miaka ya 1991-2 huko
 
Back
Top Bottom