Gari inahitajika fasta mil.6 ipo

Gari inahitajika fasta mil.6 ipo

Cacho

Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
23
Reaction score
2
Gari inahitajika Mark II grand namb C iwe na hali nzuri cause itakua inasafiri mbali, kama ipo tuma picha kwa whatsapp number 0786 360 818 au piga simu.
 
yeah naita gx 110 vp ipo mkuu? km ipo tupia kwa whatsapp
 
Sawa mkuu, kuna jamaa yuko sinza remmy atakupatia mark 2 nzuru, gx 100 au 110. nakuwhasap no yake
 
Gari inahitajika Mark II grand namb C iwe na hali nzuri cause itakua inasafiri mbali, kama ipo tuma picha kwa whatsapp number 0786 360 818 au piga simu.
Ila uwe makini usije ukauziwa mbuzi kwenye gunia kwa sababu mjini kuna wasanii kibao hata kama hawajatoa singo/albamu hata moja
 
ImageUploadedByJamiiForums1424888228.205754.jpg

Njoo inbox tufanye bizness
 
mi nahitaji IST kwa bei ya 6m.

6m yote hiyo???

Fanya mambo na watu wa masoko wa ile kampuni ya simu inayotoa magari.
Kwa 3m tu unajichukulia gari.
Ila usitake makuu, kubali kua umelishinda kwa bahati nasibu.
 
Kwa vyovyote vile mark II yenye namba C kwa bei hiyo lazima watoto wa lumumba wakubamize na kimio!!!
 
6m yote hiyo???

Fanya mambo na watu wa masoko wa ile kampuni ya simu inayotoa magari.
Kwa 3m tu unajichukulia gari.
Ila usitake makuu, kubali kua umelishinda kwa bahati nasibu.

Acha wavivu wa kufikiri waendelee kujua ni bahati nasibu,ilikuwa enzi hzo si sasa!!
 
Back
Top Bottom